I honestly thougt it was going to be United's nite, nilikua na uhakika baada ya kuangalia tu ile defence ya Barca kwa kuwa hawa jamaa hata wakiwa na defenders wao wa first eleven bado wengi tunaona kuwa pale ndo weakness point yao ilipo. Na niliamini kwa kuwa Barca na Gunners wana similar playing styles, nikajua Fergie atatumia tactics zilezile zilizomnyoa Arsenal, and would have put all my saving for them to score a goal tonight! Im so glad thou cause the better team won and its so good to see the best team in europe being crowned as the european champions. Man U winning this title would have been so unfair to other teams in Europe. Poleni wana Manure, you are not alone,we are all missing out, at least we managed a goal with one man down!
I really know how it feels kama wewe wakati ule..Man Utd bado wapo juu na nimekubali tumefungwa maana Barca wamecheza bwana na wanastahili kombe..
Congrats Barca
..bana eeh, limechi lishaisha hili... tusubiri season nyingine!!
Jamani ndugu zanguni nimejitahidi kutafuta thread ya ndugu zetu ......,
MAN U siipati jamani....wame edelete nini...polen mama belly;n compny
dont worry kuna nexty. year....
tujitahidi tunaweza kufanikiwa kuchukua kombe
big up cuddy boys
ha ha haa...
nakweli! ...Belo, Nziku, Manda, Saikosisi, Mtaalamu wapo wapi na wana hali gani jamani? ...hatari, game kama hizi kuna watu roho zishaacha mwili!
Ab-Tichaz sasa tuletee mapicha mazee, wiki nzima kusherehekea ubingwa wa Barca mpaka Icadon azoee!