FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Lionel messiah hahaha huyu jamaa huwa nikikosa kazi nazama zanyu YouTube naangalia mambo yake ananikosha sana...

Akistaafu soko nitakuwa heart broken sanaa
Siku Akistafu huyu Mnyama, Viwanja vyote vya mpira duniani vitakuwa kama vimeungua na kuteketea kwa moto. Yaani mpira wa miguu hautakuwa na maana tena nafikiri...

King Lionel Messi10....
 
Yaani mwisho kushinda ni 40,000/=!!!!!!....,Pambana na hali yako ndugu!!!!...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…