Daah haina noma lakini,
Tutapambana tu.
Niulize tu. Sasa mbona kwenye games kama fifa ikitokea umesajili mchezaji katikati ya msimu uwa anaendelea kucheza na magoli yake kama amefunga yanaendelea kuhesabika hii sheria ni mpya au ndo games are just the games