FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

gemu gemu2.......kuna vitu vingi tu kwenye gemu ambavyo in reality havipo...mfano muda wa adhabu ya kadi..
 
Gomez simpendi anafata huyu Defue
Yeah hawa jamaa wanatakiwa wakaruke ruke timu zingine huko, tumewachoka. Gomes mzee wa kupaisha hata kama yuko umbali wa mita 10 tu kutoka golini. Delouf yeye ni mzee wa kukimbia kimbia tu nabingwa wa kupoteza mipira na kuwapa maadui
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…