I was kidding bana yeah its the matter of time achezee team anayoipenda sana duniani na mbinguniDaah Mkuu Umefika mbali sana. But Coutihno muda wowote tutasikia "official news" ya kutua kwake....
Yaani kwamba hivi, tutakuwa wa moto balaa Mkuu "on the pitch".I was kidding bana yeah iys tje matter of time achezee team anayoipenda sana duniani na mbinguni
Qualities za pale mbele ,i can predict coacher atamchezesha kama winger wa kushotoYaani kwamba hivi, tutakuwa wa moto balaa Mkuu "on the pitch".
Maoni ya mdau 1 huko kwa social network.Mkuu this time tutachomana visu kwa udanganyifu
Coutinho asipotua Barcelona najinyonga
This time sio kama kipindi kile cha summer sergio 5 aliniambia nijiudhuru nfasi zote za ukada kwa sababu Coti hakufika Summer
Literally contract imefungwa game na levante kesho anaweza akawa jukwaa anaangalia
Source :my spies in catalonia
Catalunya itoke Hispania...... Barca timu kubwa na haiwezi kukosa ligi kubwa ya kucheza....kila ligi inaitamani BarcelonaCatalunya haiendi popote itakuwa Spain milele
Coutinho asipotua Barcelona najinyonga
This time sio kama kipindi kile cha summer sergio 5 aliniambia nijiudhuru nfasi zote za ukada kwa sababu Coti hakufika Summer
Literally contract imefungwa game na levante kesho anaweza akawa jukwaa anaangalia
Source :my spies in catalonia
Hivi tunavoongea yuko jetting to Barca...
Hope akitua tu Barca wanatoa official news usiku huuhuu kama siyo kesho mapema sana.Hivi tunavoongea yuko jetting to Barca...
Finally it might be time for another Brazilian to have a bright career at Barcelona, we only need confirmation of these great news.Tinho welcome to Barca.
Kuna sehem nimesikia uchambuzi flani ktk channel huko YouTube wakidema kwamba coutinho eti hato cheza ucl hadi msumu ujao! Nikweli au?Naona saga Coutinho limeanza tena.
Ndo hivyoKuna sehem nimesikia uchambuzi flani ktk channel huko YouTube wakidema kwamba coutinho eti hato cheza ucl hadi msumu ujao! Nikweli au?
Ndio, ni kwa sababu ameshacheza mechi za UCL akiwa na Liverpool msimu huu.Kuna sehem nimesikia uchambuzi flani ktk channel huko YouTube wakidema kwamba coutinho eti hato cheza ucl hadi msumu ujao! Nikweli au?
Yah, ni sheria ya UEFA, kama mchezaji katoka club inayoshiriki UCL na akahamia club nyingine ambayo nayo inashiriki UCL hatoruhusiwa kuchezaKuna sehem nimesikia uchambuzi flani ktk channel huko YouTube wakidema kwamba coutinho eti hato cheza ucl hadi msumu ujao! Nikweli au?
Hiyo ni kweli, huwa hairuhusiwi mchezaji kucheza UCL na timu tofauti katika msimu mmoja.Kuna sehem nimesikia uchambuzi flani ktk channel huko YouTube wakidema kwamba coutinho eti hato cheza ucl hadi msumu ujao! Nikweli au?
Daah haina noma lakini,Ndo hivyo
Ndio, ni kwa sababu ameshacheza mechi za UCL akiwa na Liverpool msimu huu.