mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
Match ya Celta Virgo ,Velverde anafikiria kumpumzisha MessiCelta de Vigo v Barca (Copa derey) 04/01/2018 na 07/01/2018 Barca v Levante.
Match ya Celta Virgo ,Velverde anafikiria kumpumzisha MessiCelta de Vigo v Barca (Copa derey) 04/01/2018 na 07/01/2018 Barca v Levante.
HApo ushindi mtupuCelta de Vigo v Barca (Copa derey) 04/01/2018 na 07/01/2018 Barca v Levante.
HahaaaaaKUNA cartoon katika Le Mundo linamuonyesha Kovacic yuko nje ya gate,nyumbani kwa messi,caption imeandikwa
"He is still manmarking him"
Weka picha basiWebsite ya NIKE imemuweka Coutino kama mchezaji wa Barca,was this a mistake au wanajua wanachofanya? Stay tuned
Nimesoma kwenye Barca live app wanasema hvyo piaWebsite ya NIKE imemuweka Coutino kama mchezaji wa Barca,was this a mistake au wanajua wanachofanya? Stay tuned
Akae tu kimya Coutinho ni mtu mzima anao uwezo wa kufanya maamuz yy mwenyew
Source zako za FB hazina ukweli wowoteNaona saga Coutinho limeanza tena.
![]()
![]()
![]()
HahahaaaKUNA cartoon katika Le Mundo linamuonyesha Kovacic yuko nje ya gate,nyumbani kwa messi,caption imeandikwa
"He is still manmarking him"
Siku hiyo ntaruka ruka...Tetesi
BARCA & LIVERPOOL ZAAFIKIANA KWA COUTINHO
Philippe Coutinho anaelekea kuwa mchezaji ghali zaidi kuuzwa Ligi Kuu Uingereza katika historia akitarajiwa kutua Barcelona kwa kitita cha £125 milioni, kwa mujibu wa Express .
Mbrazili huyo alikuwa shabaha ya Barca miezi mingi, lakini Blaugrana walishindwa kufikia makubaliano na Liverpool majira ya joto.
Ulikuwa mvujo flani hivi nasikia, badae waliitoa post hiyo baada ya mashabiki wa Liverpool kuja juu..Website ya NIKE imemuweka Coutino kama mchezaji wa Barca,was this a mistake au wanajua wanachofanya? Stay tuned