Bad news kwa kweliDembele will miss up to 4 month. Get well soon and build those muscles
Habari mbaya sana. I hope .deulofeu na Dennis wata step up na kucover our wings.Bad news kwa kweli
Wanasema Lord Paulinho hahhaahahaahuyu Paulinho ametuvua nguo hadhalani kwa wale woote tuliombeza kiwango chake.
ila yote kwa yote tushukuru kwa matokeo tuliyoyapata.
Delofou anaoneshaa uwezo mzuri sana kwa sasaaHabari mbaya sana. I hope .deulofeu na Dennis wata step up na kucover our wings.
Hawa madogo sio wa kutegemea kabisa, utadhani hawakuwa la masia ,dembele alishaanza kucheza vizuri na kwa kjiaminiHabari mbaya sana. I hope .deulofeu na Dennis wata step up na kucover our wings.
Mtake radhi denisHawa madogo sio wa kutegemea kabisa, utadhani hawakuwa la masia ,dembele alishaanza kucheza vizuri na kwa kjiamini
Nilimjumuisha kimakosa, my apologyMtake radhi denis
Ni maombi yangu tu kuwa wasije wakaja kupigana uwanjani ,najua kuna siku mmoja yatamfika tu shingoni.Yameshamfika huko alikokimbilia!
Kwa hali hii lazima umkumbuke Messi.
Why would we have to simpathise this kid for being denied a penalty??? Because i remember he said that he went to join PSG in quest for a new challenge and that was ok with us. So there is Cavan giving him that challenge of his dream and i hope he enjoys it just like he did with his transfer saga in the last summer when he made the entire board and fanbase of FCB around the world get heart broken by his move.Sijui kwanini watu wengi wenye pure talents kama ya messi, Pele, iniesta, ronaldinho gaucho wako humble, friendly and submissive saana. Huwezi kukuta moja kati ya hawa magenius wanagombea mafree kick au penalty...hapana!
Lakini watu ambao sio pure talented huwa wanahaha sana kama neymar jnr analazimisha mafanikio bila kujua kama huko talented and blessed kila kitu huwa kinakuja automatically and uncontrolled.
You can't force free kick and set pieces ili uabudiwe kwenye team...hell no! Namuunga mkono Cavani ambanie kabisa maana asijifanye faza wakati kawakuta mafaza malegendary akina Cavani na walivumilia shadow ya cadabra before ili wapige free kick na penalty ilikuwa mpaka ibrahimovic awe na injury.
Dennis kwa sasa anazid kukomaa ata ukimtazama amejenga kujiamini sana soon anatakuwa kama isco yule delo hakuna kituMtake radhi denis