wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,944
Mascherano, what a tackle that was
Yeah ila left and right flank zijapendezwa nazoTunaupiga mwingi?
Nafikiri Right flank tuko vizuri. Na mimi nimewaza. Deniis ataupiga kuliko Paco. Timy yetu bado kali, na si kwamba betis ni wabovu. Hapana. Sisi wakali.Yeah ila left and right flank zijapendezwa nazo
Hivi kwanini huyu Alcacer asingeingizwa Dennis Suarez?
Paco mzigo naona kama tunacheza nusu ndio maana hata alba anapanda kwa machale.Right winger yetu imekuwa ya moto/fire. Semedo anakinukisha kule. Ila Paco sijamuona.
Ha ha ha umemsimulia vizuri sana in real time Messi kagonga mwambaUnachotakiwa kujua ni kwamba Ronaldo hakuondoka kihuni kama alivyofanya Neymar. Neymar left through a back door, wakati Ronaldo alikutanisha viongozi wa Madrid na Man u
Hata hivyo hakuna anayemchukia Neymar, ni maisha aliyochagua.......... Messi anagomba mwamba pale, almanusura apate goal
Huyu player ni wa kugawa bure ,Alcacer tuwape team zingine burePaco mzigo naona kama tunacheza nusu ndio maana hata alba anapanda kwa machale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisatym haijaballance tukipata tym kupaki bas tutaenya.
Huyu player ni wa kugawa bure ,Alcacer tuwape team zingine bure
Nafikiri Right flank tuko vizuri. Na mimi nimewaza. Deniis ataupiga kuliko Paco. Timy yetu bado kali, na si kwamba betis ni wabovu. Hapana. Sisi wakali.
Semedo mashine aisee. Naona kocha anamtoa gerald anamuacha paco dah.semedo yuko vizuri
23yrs.
- semedo yuko vizuri hv mwenye kujua age yake