Hatujabebwa hata kidogodah! mechi ngumu sana. kipa wao mzuri na dizaini tumebebwa bebwa
Hatujabebwa hata kidogo
Hizi mbeleko zinaharibu mashindano. Bachalona mnabebwa Sana. Refa badala ya kumaliza mpira anawapa watu penalty
mbaya zaid KING kapga mbiliRefaree was the man of the match sasa unabisha nini? Denied 2 clear penalties for Valencia
utaumia sana mkuu 
lakini hatuwezi kuwa responsible kwa makosa ya refa. nawasubiri Bilbao wafanye yao.Refaree was the man of the match sasa unabisha nini? Denied 2 clear penalties for Valencia
ni makosa ya refa na siyo kitu common kututokea. goli la kwanza linabishaniwa offside sababu Suarez aliruka, Busquets alipaswa 2 yellow na Umtiti alipush kwenye box. lakini vyote ni controversial. ila point tatu za leo zimefurahisha sana.Hatujabebwa hata kidogo