Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Week hii acha kabisa yaani bado nimezidi kunenepa tu kicheko kila mahali,next Barca anacheza na nani?
😀Mpaka unashindwa kutembea
Week hii acha kabisa yaani bado nimezidi kunenepa tu kicheko kila mahali,next Barca anacheza na nani?
baada ya li saa moja na roboGame sa ngap aisee
Best Mbona umewapa ujiko sana hilo moja wamefungia wapi???? Ni 2-0HT 2-1. vallecano wana red.
Hii ndo Barca, magoli ya ajabu yanapatikana EPL kwa Man U na vibonde vingine.dk ya 52 king anafunga tena. 3-0. goli lilikuwa no moves nzuri sana.
magoli ya kubahatisha na yaliyokosa ufundi. Suarez kapiga penalty kwa hasira kipa katema. dk 69 3-1.Hii ndo Barca, magoli ya ajabu yanapatikana EPL kwa Man U na vibonde vingine.