Jana Toress alinifanya nilale mapema
ATM , hamna team , yule hata kushambulia hawezi, sidhani kama atafika mbali mkuuJana Toress alinifanya nilale mapema
Asubuhi nacheki livescore nakuta 1-2
Haki tena nimefurahi sana
Ila ATM wana miyeyusho ya kisenge sana, defense yao siku hizi imekuwa ya mashaka sana. Yakifanyiwa high pressing ni mepesi mno kuchomesha.
Magoli yote mawili ni uzembe wa defense kushindwa kumudu pressing.
Arsenal hii hii yenye gundu na makombe 😀Namuona Arsenal akienda kubeba UCL
Mzee wa mbio, kabla game haija isha 😅😂Jana Toress alinifanya nilale mapema
Asubuhi nacheki livescore nakuta 1-2
Haki tena nimefurahi sana
Ila ATM wana miyeyusho ya kisenge sana, defense yao siku hizi imekuwa ya mashaka sana. Yakifanyiwa high pressing ni mepesi mno kuchomesha.
Magoli yote mawili ni uzembe wa defense kushindwa kumudu pressing.
Kwasaizi hata akitolewa haina mbaya kwasababu amekamilisha kazi niliyomtuma, japo njia aliyotumia ilikuwa ni stressfulATM , hamna team , yule hata kushambulia hawezi, sidhani kama atafika mbali mkuu
Ulimwengu wa mpira una karaha zakeSo Barcelona is the Netflix fc of UCL 🤔View attachment 3573053
Tena nilikuwa naicheki kwenye PC na mwanangu ambaye ni Madridista mwenzanguMzee wa mbio, kabla game haija isha 😅😂
Daaah sijui tungeficha wapi sura zetu kwa fans wa aka katoto lamine nyamal 😅Tena nilikuwa naicheki kwenye PC na mwanangu ambaye ni Madridista mwenzangu
Goli la dakika 4 lilivyoingia tukawa tumekubaliana likiingia lapili kwenye hii 1st half tuzime tu PC
Nasubiri arsenal ashinde Leo, ili mambo yawe mukide.Tena nilikuwa naicheki kwenye PC na mwanangu ambaye ni Madridista mwenzangu
Goli la dakika 4 lilivyoingia tukawa tumekubaliana likiingia lapili kwenye hii 1st half tuzime tu PC
We kumbe ni Arsenal?Nasubiri arsenal ashinde Leo, ili mambo yawe mukide.
Ngoja Arsenal abebe taji lolote ndo utaelewaWe kumbe ni Arsenal?
Daah ujanja wote huo?
Bado mechi mbili tu tupite hivi na la liga.
Kama tukishinda mechi na osasuna mechi na Madrid itakuwa ya kutangaza ubingwa.
Ikitokea tumeshinda jamaa zetu wameshakataa kutupa guard of honour.
Aah aah jamaa wana hasira na washamba sana.
Wamefeli kwenye tabia .Aah aah jamaa wana hasira na washamba sana.
Na mwaka huu pia wanatoka patupu.
Mimi naomba tuwadunde bao za kutosha hiyo siku ya el clasico.Wamefeli kwenye tabia .
Mzee Flore atawatukana sana mwaka huu
Timu bila Wakongwe inageuka Jopo la MajokeriMimi naomba tuwadunde bao za kutosha hiyo siku ya el clasico.