Mkuu mimi mawazo yangu yote mechi ni saa 5 usiku, nilipoona hii tag yako nikasema nisikurupuke kuijibu ngoja niingie livescore nicheki vizuri ratiba nashangaa nakutana na
Hii mechi timu zinapigana Magoli Sana na hii yote ni kwamba match iko open kinyama, Newcastle Wana makosa kwenye defensi Yao Huku Barca wakiadhibiwa na high line Yao wanayocheza.
Mkuu mimi mawazo yangu yote mechi ni saa 5 usiku, nilipoona hii tag yako nikasema nisikurupuke kuijibu ngoja niingie livescore nicheki vizuri ratiba nashangaa nakutana na