FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Daah jana tumecheza hovyo sana.

Jamaa wangekuwa serious wangetufunga hata 3.

Sio mbaya late equalizer ya penati ya Yamal imetuokoa.

Big up kwa Olmo mzee wa ku break tight spaces.

Busu la Kenge

loose Nut
 
Cules.

Leo tuna kipengele na Newcastle.

Hope tutatoboa hii game japo Newcastle sio wepesi kivile.
 
Mashabiki wa Newcastle kama 10 000 hivi wanaelekea camp nou.

Ila ni 3 000 tu ndio wana tiketi na watakaoruhusiwa kuingia ndani.

Game ina pressure sana hii.

Busu la Kenge
 
Tuliwaambia England kugumu wanadhani masihara.

Hii mechi hata mkishinda lakini naamini phamarcy za hapo Camp Nou zitauza sana panadol
 
Hii mechi timu zinapigana Magoli Sana na hii yote ni kwamba match iko open kinyama, Newcastle Wana makosa kwenye defensi Yao Huku Barca wakiadhibiwa na high line Yao wanayocheza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…