FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barcelona akifugwa Leo basi ubigwa unakua hatiani bcoz match na Athletic inaweza kuwa ngumu sana na ukizingatia tutakua ugenini na tutakua na pressure sana kwasabab itakua match ya mwisho wa league na pengine itakua ndo yakuamua ubigwa
 
Pia ukizingatia at time inawezekana na Athletic akawa anapambana kuweza ku qualify UEFA bcoz sasa hivi tu ukiachana yupo nafasi ya 4 lakin haimpi uhakika wa UEFA endapo atazingua match zake bcoz Real Betis bado ananafasi bcoz Athletic na Villarreal wamemuacha point 4 tu....so Barcelona asipokua makini ubigwa utakua bye bye
 
Barcelona akifugwa Leo basi ubigwa unakua hatiani bcoz match na Athletic inaweza kuwa ngumu sana na ukizingatia tutakua ugenini na tutakua na pressure sana kwasabab itakua match ya mwisho wa league na pengine itakua ndo yakuamua ubigwa
Acha kuucheza mpira mdomoni
 
Baada ya kutoka kwenye kitchen party ya copa del ley leo tunaenda kumuoa madrid
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…