Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,232
- 79,757
Hii Ngoma inaenda matuta
Kama timu gani?😁...hasa ukitaka timu Fulani ifungwe alafu haiwi hivyo.
Huyu Ni mwaribufu 100% miyeyusho Sana huyu faza wa ScotlandDah lewandowiski kaingia, kazi ipo
Mimi Niko chumbani mkuu hata siangalii maana naweza kupata heart attack ya ghafla,Wazee presha ya mpira ni kubwa saana hasa ukitaka timu Fulani ifungwe alafu haiwi hivyo.
Mkuu hii stori achana Nayo mana mapenzi ya mpira ni mabaya sana.😂Kama timu gani?😁
Wacha tuone mastaMpira ni dakika 90
Mimi naanglia kupitia hapa sitaki kulala na mawazoMimi Niko chumbani mkuu hata siangalii maana naweza kupata heart attack ya ghafla,
Mbn ghafla 😄Mimi naanglia kupitia hapa sitaki kulala na mawazoView attachment 3326493
Hii game Bora nichek marudio lakini sio live kabisa.Mbn ghafla 😄