Fatigue mkuu watu wapo hoi mechi mashindano mengi kikosi kidogomImi naona Barcelona vijana wake hawana nguvu. Ile physic. We angalia Dimarco anavyomchezea Yamal kwa kutumia nguvu. Hata Cubasi na Martinez hiyo ni sawa na light weight vs heavy weight. Pia kule pembeni kwa Martin. Anapambana na Demfries. Ni shida.
Flinks afanye hivi. Amtie Cubasi amoandishe Arouja. Olmo aende bench apande Femini. Pia Martinez atoke aingie Gavi.
Inter Hii game watashindakwa kutumia nguvu zaidi kuliko uwezo.
Hilo nina uhakika nalo kabisa 😃Sina Maneno mengi, stay tuned.
Inter wali jua Barca ana kuja kutafuta goli la mapema, so mbinu pekee ni kumuachia acheze mpira.Inter wanafikiwa sana kwenye eneo lao na hiyo inasababisha muda mwingi mpira uchezwe kwenye zone yao.
Hiyo ndio inanipa wasiwasi sana kwasababu kwenye zone yako unaweza kujikuta umecheza faulo ambayo adhabu yake ni penati.
Lakini naamini pia kuwa hiyo ndio ilikuwa plan yao kuwaruhusu Barca wacheze eneo lao ili wao wacheze Counter attack.
Vipi la Barca nalo si uli tabiri hapo juu, ime kuwaje?Hilo nina uhakika nalo kabisa 😃
Kila mtu alikuwa anafanya kazi ya kustudy high line akifika kucheza na Barca ukishindwa kuchomoa hiyo umefungwaBarca wanacheza high line toka msimu unaanza .. Kilichotokea ni kwamba timu nyingi zilikuwa zinanasa kwenye mtegi wa kuotea na barca wanafunga sana magoli..
Nusu ya pili ya msimu wamestukuwa.. Mechi nyingi wamekuwa wakiruhusu sana magoli !
Kabisa yani.Yamal ni overrated Kama ansu fati tu, wange muacha acheze boli badala ya kumuimbia taarab.
at his age yuko gud, shida expectations ziko high kinyama.
Sawaa sawaa😃😃Kwasasa Talented ni hao wawili waliofunga goli.
Huyo mwingine ni machachari tu
Kweli besti. Pia uzoefu experience. Pia uwanja wa nyumbani na kelele za San sirro. Pia inter inatumia nguvu wako physical hasa Huy de Marco anavyomkaba Yamal aggressive lakini Yamal tumeona amempita mara mbili Kwa akili.Izanghi yupo fire,ila machine dk 90
Au ulimbetia Barca?Sawaa sawaa😃😃
Sahii kabisa, physique Barca wameshindwa ,ndo maana malalamiko kwa refa ni mengi mno. Refa hataki ujingamImi naona Barcelona vijana wake hawana nguvu. Ile physic. We angalia Dimarco anavyomchezea Yamal kwa kutumia nguvu. Hata Cubasi na Martinez hiyo ni sawa na light weight vs heavy weight. Pia kule pembeni kwa Martin. Anapambana na Demfries. Ni shida.
Flinks afanye hivi. Amtie Cubasi amoandishe Arouja. Olmo aende bench apande Femini. Pia Martinez atoke aingie Gavi.
Inter Hii game watashindakwa kutumia nguvu zaidi kuliko uwezo.
Hapo ulipo hata danadana 5 huwezo kupiga halafu unabana pia kuhusu yamalInaweza ikawa ngoja tumngojee inter hapa kwanza maana mpira bado japo tumeshikwa vibaya leo
KUna ule msemo form is temporary, class is permanent Waka muulize haaland au Eden hazard ata waelewesha hilo.Kabisa yani.
Kwasababu vitu anavyovifanya hata ukiangalia ligi za Bethelem kule home town kwa Yesu watu wanavifanya.
Ila ishu ni kwamba tu vimekosa coverage na promo