Najuta kuacha kuangalia mechi Ile, nilipoona mpaka DK 60 tuko nyuma nikaamua nilale. Nakuja kuchungulia kitu 3, nikakimbia niwashe TV sasa shida ya DSTV mpaka iwake ikawa too late. Navizia sijui lini wataonyesha marudio lazima niangalie michomo ilivyokuwa.
Yamal ni Messi mtoto🔥🔥🔥