FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

adui muombee njaa, hii gem ngumu sana kwa sababu atletico nae anazitaka sana alama 3.
Kabisa nae baada ya kuwa eliminated in UCL macho yake yote ataamishia La liga.

Nachoamini tukiacha uzembe mdogo mdogo kama wa ile draw ya 4 4 tunawafunga vizuri tu.
 
Kabisa nae baada ya kuwa eliminated in UCL macho yake yote ataamishia La liga.

Nachoamini tukiacha uzembe mdogo mdogo kama wa ile draw ya 4 4 tunawafunga vizuri tu.
Naamini hivyo pia kikubwa tusiruhusu magoli, atletico tukiwatangulia goli mbili hawarudishi.
 
Dah! Tumeshinda kwa mbinde sana sema Atletico anapenda kutukazia sio kama akicheza na Madrid....sema hii game ilikua inaamua ubingwa kwa asilimia 65% kwa Barca....sasa kilichobaki hatutakiwi kucheka na hizi team nyingine...ibaki game ngumu na Madrid tu...ili tukimfunga tutangaze ubingwa
 
Madrid hana timu ya kucheza na sisi.

Hana kabisa.

Tena akijifanya kukamia atakufa goli 6 au 7.

Atletico wazuri sana kwenye kukaba lakini angalia tulichowafanyia.

Hii Barca watu wanaichukulia poa ila sio timu ya mzaa hata kidogo.
 
Game ilikuwa ngumu kiasi, nimeangalia first half, jamaa waliziba sana mianya, nimelala nachungulia dkk ya 70 nakuta 2-0 nikasema tumekwisha...I wish ningeamka niione show ya dkk 20 za mwisho! Watoto wapi vizuri sana.
Umekosa uondo cule mwenzangu.

Hii barca yetu ya sasa ina madogo hatari sana.

Mimi tulivyo equalize tu kwa header ya Feran Torres nkajua hawa tunawafunga.

Kweli ilikuwa mwendo wa kuwapelekea moto mpaka dakika ya 92 Yamal anapiga bao la deflection nkajua hapa shughuli tumeimaliza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…