Kati ya match zilizobakia Real Madrid hawataamini watapoteza moja na kutoa draw match moja na kikombe kitarudi Camp Nou kama kawaida
Barcelona atashinda match zote zilizobakia
Huu sio utabiri ,hizi ni expert calculations,hata marefa wakiwabeba Kama ilivyotokea match 3 zilizopita hawatachukua Laliga
Ushindi wao mwembamba wa goli 1 sio bahati mbaya wana technical problem ya attacking line yao ....huwezi kuchukua ubingwa na forward mbovu kiasi kile