FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,065
| 76' | FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |
| 76' | FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |
| 80' | FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |
| 84' | FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |
| 90' | FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |
FC Barcelona | 2-1 | Getafe CF |



wanacho mzidi ni ubavu tu wanamsukuma sana
messi amelala huku mpinzani wake ametoka usingizini..
Mkuu, winga ya kushoto hatuna. Hatuna mtu wa kupiga chenga kupunguza watu.Grinzy mbona maamuzi yake ni dhaifu sana... hivi hajiamini au ana presha... mipira gani ile anakosa wazi kabisa..
Naona mido zikifosi kwa nguvu sana kupenetrate sio kama nyuma..
Na huyu de jong napenda sana akiwa na mpra tachi zake jinsi anavowatoka watu raha kumwangalia japo kapoteza kiboya boya mipira kadhaa...
Firpo kajitahidi leo movement zake zimekua nzuri sana
Messi naona akianza kufichwa kwenye timu.. na uso wake unaonyesha ni mwenye disappointment kwa ukame wa magoli.. akiguswa kidogo tu lawama nyiingi..
Bus wanamwitaga 'pweza' kweli huyu jamaa ni pweza. Fine as old wine.
Fatiiiiiii... this boywanacho mzidi ni ubavu tu wanamsukuma sana
Pique concentration sio siri leo imeonekana ...anajiamini sana huyu mjinga...
Ile save ya terstegan kwangu ndio save of the season ....jamaa hatari sana huyu
Bado kuna umuhimu wa '9' ...tukimpata na sane hivi itakua safi maana city wako doomed
Ki ujumla timu imeonana sana zile control under pressure ... biuldup play from deep ni kitu safi sana inafanya niendelee kuamin timu iko kwenye mikono salama ya setien mtaalam.
Visca el Barca.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dembele anahitajika...fati is good but anatakiwa awe dogo wa kuingia dakka ya 83 ...hana zile kuponyoka 1v1 wanakasukuma tu...kanakuwa kama ukuta wakikapa pasi kanarudisha nyumaMkuu, winga ya kushoto hatuna. Hatuna mtu wa kupiga chenga kupunguza watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Greizman man of the match leo.Grinzy mbona maamuzi yake ni dhaifu sana... hivi hajiamini au ana presha... mipira gani ile anakosa wazi kabisa..
Naona mido zikifosi kwa nguvu sana kupenetrate sio kama nyuma..
Na huyu de jong napenda sana akiwa na mpra tachi zake jinsi anavowatoka watu raha kumwangalia japo kapoteza kiboya boya mipira kadhaa...
Firpo kajitahidi leo movement zake zimekua nzuri sana
Messi naona akianza kufichwa kwenye timu.. na uso wake unaonyesha ni mwenye disappointment kwa ukame wa magoli.. akiguswa kidogo tu lawama nyiingi..
Bus wanamwitaga 'pweza' kweli huyu jamaa ni pweza. Fine as old wine.
Fatiiiiiii... this boywanacho mzidi ni ubavu tu wanamsukuma sana
Pique concentration sio siri leo imeonekana ...anajiamini sana huyu mjinga...
Ile save ya terstegan kwangu ndio save of the season ....jamaa hatari sana huyu
Bado kuna umuhimu wa '9' ...tukimpata na sane hivi itakua safi maana city wako doomed
Ki ujumla timu imeonana sana zile control under pressure ... biuldup play from deep ni kitu safi sana inafanya niendelee kuamin timu iko kwenye mikono salama ya setien mtaalam.
Visca el Barca.
Sent using Jamii Forums mobile app