Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Watu wengne hawatak kukubali lkn Bosquets sio tena m2 reliable mda wake unaisha na iyo nafas yake De Jong anaweza kucheza vzr kbs maana ndo anapenda kucheza hata akiwa HollandMkuu msimu ujao au januari tutafute mbadala ya busquets, mpira umeshaisha pale.
RonaldoBusquets asiwe anaanza De jong ni fundi...
Vidal kiungo mkabaji asante..lakini bado tumshukuru mungu kwa kutupa mchezaji bora na dunia La pulga zile move za magoli yale hasa la pili...lazima wakubali ! Hili li Suarez linatakiwa lipate tiba moja kama ya ushauri nasaha hivi kweli wengi tunaliona mzigo lkn likibahatisha huwa linabahatisha kweli kweli...
Nani kama messi ?
itanibidi nijongee hapo
amenijibu wapi...Ulibid uwe na akiba ya maneno amekujib
its not a feeling position anayochezeshwa Grizzman haitamfaa kamwe, ile inamfaa mtu anayetumia mguu wa kulia..Barca akishakuwa a goal behind mateso kwa fans yanakuwa makubwa-game tuna dominate lakini no goals
Hivi haiwezekani Griezman akacheza nyuma ya Suarez alaafu Messi akazunguka zunguka-I have this feeling Griezman is not being positioned properly
Atulie acheze soka.. alitaka mwenyewe kwenda PSG sasa acheze
mimi hii UEFA nawapa MAN CITY, PSG hakuna wakuwabishia hao jamaaPsg wakikaza sana
CL wanachukua.. wanawachezaji wazuri sana sema hawana beki jeuri kama timu nyingine.
Ilishawahi kuzungumzwa humu, Busquets ana mpira wa kupooza, yupo tayari arudishe pasi nyuma ili tu mwisho wa mechi aonekane hajapoteza pasi.Bosquets ana slow sna game na anatkiwa apewe much resting time Vidal awe anaanza mda mwngne Rakitic
De Jong akae ile nafasi na pia Arthur awe anaanza, ubaya unakuja kwamba tulimtoa Coutinho, angepata namba pale kati.Watu wengne hawatak kukubali lkn Bosquets sio tena m2 reliable mda wake unaisha na iyo nafas yake De Jong anaweza kucheza vzr kbs maana ndo anapenda kucheza hata akiwa Holland
Busquets siku hizi anacheza kama father mule ndani.Busquets asiwe anaanza De jong ni fundi...
Vidal kiungo mkabaji asante..lakini bado tumshukuru mungu kwa kutupa mchezaji bora na dunia La pulga zile move za magoli yale hasa la pili...lazima wakubali ! Hili li Suarez linatakiwa lipate tiba moja kama ya ushauri nasaha hivi kweli wengi tunaliona mzigo lkn likibahatisha huwa linabahatisha kweli kweli...
Nani kama messi ?
Pique anabebwa na uzawa na uhitimu wa La Masia tu hana loloteDe Jong akae ile nafasi na pia Arthur awe anaanza, ubaya unakuja kwamba tulimtoa Coutinho, angepata namba pale kati.
Busquets, Pique hawa mpira umeshaisha, wanachezea uzoefu tu. Na yule lenglet muda mwingine anazingua, sio beki ya kuiamini sana. Pale mashine ni semedo na walau roberto, sio rahisi kupoteza mipira hawa na wapo tayari kujaribu kwa namna mbalimbali.
Busquets asiwe anaanza De jong ni fundi...
Vidal kiungo mkabaji asante..lakini bado tumshukuru mungu kwa kutupa mchezaji bora na dunia La pulga zile move za magoli yale hasa la pili...lazima wakubali ! Hili li Suarez linatakiwa lipate tiba moja kama ya ushauri nasaha hivi kweli wengi tunaliona mzigo lkn likibahatisha huwa linabahatisha kweli kweli...
Nani kama messi ?
Ronaldo
Ni kama tuuuuuRonaldo
Kweli lenglet pale tatizoDe Jong akae ile nafasi na pia Arthur awe anaanza, ubaya unakuja kwamba tulimtoa Coutinho, angepata namba pale kati.
Busquets, Pique hawa mpira umeshaisha, wanachezea uzoefu tu. Na yule lenglet muda mwingine anazingua, sio beki ya kuiamini sana. Pale mashine ni semedo na walau roberto, sio rahisi kupoteza mipira hawa na wapo tayari kujaribu kwa namna mbalimbali.
Jana alikua anachezea muda mwingi nyuma kabisa lakini jinsi alivyokua anaanza toka huko nyuma hadi kufika ndani ya box ni totally amazing !Hakuna kama Messi tokea soka lianze kuchezwa hapa ulimwenguniI'm so proud kuwa fan wake/Estoy tan orgullosa de él
Ha haaa alafu wanakuja kumfananishs na vitu vya kijinga...hawako serious hawaJana alikua anachezea muda mwingi nyuma kabisa lakini jinsi alivyokua anaanza toka huko nyuma hadi kufika ndani ya box ni totally amazing !