FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

uyu grizeman iyo rate dah
IMG-20191002-WA0056.jpeg
 
Kula kila sababu Artulo Vidal awe anaanza match
Velverde afanye iwezekanavyo is good kwenye kunyang'anya mipira na one to one pressing
Halafu jamaa kifua chake kama ana air conditioner kudadadeki ,anakimbia muda wote kama mbwa mwitu
 
```TEAM Gp Gd P
Dortmund 2 +2 4
Barcelona 2 +1 4
Inter 2 -1 1
Slavia Pra… 2 -2 1
```
 
Barca akishakuwa a goal behind mateso kwa fans yanakuwa makubwa-game tuna dominate lakini no goals
Hivi haiwezekani Griezman akacheza nyuma ya Suarez alaafu Messi akazunguka zunguka-I have this feeling Griezman is not being positioned properly
 
Second half tunamaliza game msijali ...
We are going to nail it totally 100% We need suppressive midfielder mmoja ,Busquets apumzishwe ,dk 55 Dembele aingie,Suarez apumzike wafanye switching na Messi akae kama fake 9 tunashinda goli nyingi tu ,japo jamaa wana defend deep sana
Mkuu msimu ujao au januari tutafute mbadala ya busquets, mpira umeshaisha pale.
 
Kula kila sababu Artulo Vidal awe anaanza match
Velverde afanye iwezekanavyo is good kwenye kunyang'anya mipira na one to one pressing
Halafu jamaa kifua chake kama ana air conditioner kudadadeki ,anakimbia muda wote kama mbwa mwitu
Bosquets ana slow sna game na anatkiwa apewe much resting time Vidal awe anaanza mda mwngne Rakitic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom