FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Poleni sana wapenzi wa Barcelona, haya machache nimeyaona ikiwezekana yapatiwe ufumbuzi.

1. Mbinu za kocha
Inaonekana kocha hana mbinu mbadala pale approach yake ya kwanza inapofeli.
Anawabadili wachezaji position zao za asili hivyo wengi hushindwa ku-deriver sawa sawa.

2. Utegemezi kwa Messi
Timu imekua inamtegemea Messi yeye ndio focal point. Kama ikitokea siku hayupo kwenye kiwango bora basi timu yote hupotea.

3. Muunganiko wa uchezaji
Timu imekosa kuwa na muunganiko, kila mchezaji anacheza kivyake. Hakuna chemistry wala partnership.
 
Ngoja tuone sakata litaishia wapi,ila Neymar naye ndo tayari kapotea,hakuna jipya tena
Msimu miwili hadi sasa hapo PSG kacheza mechi 59 mashindano yote kafunga magoli 51 na assist 27 bado unasema hana jipya!, daaah wabongo kiboko.

Kuacha ujinga alionao ila Neymar akienda Barca atapunguza utegemezi wa Messi kwenye timu kwa kiwango kikubwa.
 
Msimu miwili hadi sasa hapo PSG kacheza mechi 59 mashindano yote kafunga magoli 51 na assist 27 bado unasema hana jipya!, daaah wabongo kiboko.

Kuacha ujinga alionao ila Neymar akienda Barca atapunguza utegemezi wa Messi kwenye timu kwa kiwango kikubwa.
Unadhani Neymar atafikia mafanikio anayoyawaza kwa upuuzi wake huo? Kwa umri wake huo? Ligi ya ufaransa na kucheza timu kama PSG hizo takwimu hata kipofu anapata,Neymar hanaujanja wa kuibeba Barcelona
 
Unadhani Neymar atafikia mafanikio anayoyawaza kwa upuuzi wake huo? Kwa umri wake huo? Ligi ya ufaransa na kucheza timu kama PSG hizo takwimu hata kipofu anapata,Neymar hanaujanja wa kuibeba Barcelona
Kama hana umuhimu huo kwanini viongozi wa Barcelona wanahaha Paris ili wamsajiri?.
 
Mimi nilishasema sitakaa kutazama barcelona kama mwalimu ndio huyo mpuuzi ambae raisi atakuwa anagawana nae mshahara
 
Ukweli tatizo letu halikuwa couthno ila tatizo letu ni coach bila coach kuondoka tutapigwa sana nawaambieni
Kweli kabbisa kaka.
Huyu kocha amekosa mbinu mbadala km alivyokuwa Luis Enrique.
Basi at least amuige Enrique aisee.
Maana hana mchezaji mbaya wote wazuri sijui wapi anafeli yeye.
Mind you kikosi cha jana angekuwa anaki coach Enrique ungesikia saba bila barca kashinda.
 
Kweli kabbisa kaka.
Huyu kocha amekosa mbinu mbadala km alivyokuwa Luis Enrique.
Basi at least amuige Enrique aisee.
Maana hana mchezaji mbaya wote wazuri sijui wapi anafeli yeye.
Mind you kikosi cha jana angekuwa anaki coach Enrique ungesikia saba bila barca kashinda.

Kuhusu kocha mimi sijawahi kumuelewa kabisa, nikajua wanamchukua yule wa Ajax baada ya jamaa kuzingua msimu uliyoisha

Pia Tatizo lingine ni Messi dependency, yaani timu imemfuata Messi baada ya Messi kuifata timu

Ndiyo maana tunahitaji Neymar awepo angalau timu iweze kuamini maisha mengine bila Messi
 
Kuhusu kocha mimi sijawahi kumuelewa kabisa, nikajua wanamchukua yule wa Ajax baada ya jamaa kuzingua msimu uliyoisha

Pia Tatizo lingine ni Messi dependency, yaani timu imemfuata Messi baada ya Messi kuifata timu

Ndiyo maana tunahitaji Neymar awepo angalau timu iweze kuamini maisha mengine bila Messi
Dah asee hapo ni team strategies bro.
Kocha hana hvyo vitu.
We tizama Enrique alikua ni kocha wa namna gani then mtizame huyu Valverde utumbo aufanyao.
Ila kuhusu Messi asee hata wakimleta Neymar watapunguza dependency ila sio kuiua.
Maana wale wanaamin juu ya Messi hakiharibiki kitu.Japo inaonekana kweli.
 
Dah asee hapo ni team strategies bro.
Kocha hana hvyo vitu.
We tizama Enrique alikua ni kocha wa namna gani then mtizame huyu Valverde utumbo aufanyao.
Ila kuhusu Messi asee hata wakimleta Neymar watapunguza dependency ila sio kuiua.
Maana wale wanaamin juu ya Messi hakiharibiki kitu.Japo inaonekana kweli.

Kwa mfano Jana kuna nafasi alikuwa anazipata Rafinya, pembeni huku anaombwa pasi na Griezman lakini anapiga piga tu, Ngoja mechi ijayo awepo Messi halafu utaona maamuzi atakayokuwa anayafanya uwanjani
 
Varvede ndiye
Kocha pekee ambaye anafanya Messi hata tuzo kwake ziwe shida, uwezo wa Messi ndio ambao unambeba yaani japo anacheza chini ya Kocha chizi lakini bado huwa anaperfom vizuri na hapo ndio unagundua kuwa Messi sio wa sayari hii
 
Kwa mfano Jana kuna nafasi alikuwa anazipata Rafinya, pembeni huku anaombwa pasi na Griezman lakini anapiga piga tu, Ngoja mechi ijayo awepo Messi halafu utaona maamuzi atakayokuwa anayafanya uwanjani
Me mwenyewe nilikua nashangaaa.
Yani hata kumtumia Griezmann walishindwa.
Na kuna wachezaji wa kuwatoaa aisee especially Pique,Suarez
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom