FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

watu wengi wamekuwa wakisema timu yetu inamtegemea san messi... ni kweli lakin hawajui kuwa kabla ya messi timu imepata kocha mwenye uwezo mkubwa sana kuchambua mchezo..

pongezi wa kocha wa barcelona, ukiangalia leo basa hawakucheza kwenye mfumo wao mama wa kila sk wa 4-3-3 leo alicheza 4-4-2 ni mbinu kubwa iliofanya ushindi upatikane kirahisi dhidi ya liva..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…