Kamanda wangu umemaliza, umeongea fact....hawa tushawazoea, yani Messi aende city, aende psg, aende Juve au bayern atascore 100 goals for season...anang'aa depay, mbappe na balloteli ligi one king atashindwa nini!!!! Anang'aa cuadrado na dybala serie A...anang'aa hadi lwobi na jota Epl?? Eti King hawezi anaogopa 😀😀😀😀 haya mawazo ya kitoto kabisa....