Na hapo messi anawafanyaje hao akina Rio wako!The only thing you ignored Messi played against crippled Chelsea and Man Utd did you expect Messi to score in OT against VIDIC &RIO or score any where camp nou/Bridge against TERRY/CALVALYO/CAHIL and PETER as homie, over my dead body just count H2H against Chelsea then tell me, my friend Messi was never blamed even for Missing penalties all over. Get this clearly LIVER is not CRIPPLED team(SOLID DEFENCE&GOLIE) don't expect any Magic from Magician Messi He always behave normal when it comes to Team like Liver. I humbly present ready to absolve opposition
Kaanza kushabikia mpira baada ya mambo ya betting kushamili. Hajui kitu huyo.UEFA finals 2009 na 2011 hao kina RIO na Vidic hawakuwepo sio
Soma nimesema OT mmoja ya watanzania wasiopenda kusoma ni weweNa hapo messi anawafanyaje hao akina Rio wako!View attachment 1074772
soma kwanza ndio upige kelele half knowledge is equal to zero knowledgeKaanza kushabikia mpira baada ya mambo ya betting kushamili. Hajui kitu huyo.
Acha ushamba wa kusoma "did you expected Messi to score at OT while RIO &VID " Walimu wa Tanzania wanakazi ngumuUEFA finals 2009 na 2011 hao kina RIO na Vidic hawakuwepo sio
Miaka hii Messi alikua akipiga shuti hapaishi linapigwa size ya kiuno au bega.Na hapo messi anawafanyaje hao akina Rio wako!View attachment 1074772
Hiyo OT umetumia kama kichaka tu nami nimekukurupusha hivyohivyo. Hao watu wako wamepigwa na wachezaji shazi tu hapo ot tena wachezaji wa kawaida sana itakuwa messi!! Kama kapanda ndege toka spain kaja kufunga kwenye ardhi ya uingereza ambapo ni nyumbani kwa man utd nini kinashindikana! Kichaka chako ni ot?! Haya basi na kina smalling hawajafungwa na messi ot!Soma nimesema OT mmoja ya watanzania wasiopenda kusoma ni wewe
Liver wanajipa moyo sana wakiamini salah na mane ndio waokozi wao wanashindwa kujua kwamba hao watakabika kirahisi sana maana barca wanakata mawasiliano kati wanyuma nyuma na wambele
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk

Hebu acha ushabiki mandazi mkuu. Unataka kutuambia Rio na Vidic walikubali kufungwa na Messi kwakua walikua Wembley, ila wangekua OT wasingekubali?Acha ushamba wa kusoma "did you expected Messi to score at OT while RIO &VID " Walimu wa Tanzania wanakazi ngumu
Hiyo OT umetumia kama kichaka tu nami nimekukurupusha hivyohivyo. Hao watu wako wamepigwa na wachezaji shazi tu hapo ot tena wachezaji wa kawaida sana itakuwa messi!! Kama kapanda ndege toka spain kaja kufunga kwenye ardhi ya uingereza ambapo ni nyumbani kwa man utd nini kinashindikana! Kichaka chako ni ot?! Haya basi na kina smalling hawajafungwa na messi ot!
mbavu zangu Neno langu ni moja tu tangu round of 16Beki ya pique anaweza akaendana na pace ya MANE au BOBBY?achana n SALAH atakayemfanya Alba agande nyuma kama ruba![]()
ukiweza kuniambia maana ya ushabiki mandazi nitajua unajua na kuamini unachosema vinginevyo utaongeza idadi ya watu wanaosema kisha wanafikiri baada ya miaka mitatuHebu acha ushabiki mandazi mkuu. Unataka kutuambia Rio na Vidic walikubali kufungwa na Messi kwakua walikua Wembley, ila wangekua OT wasingekubali?
Hivi kuna uwanja wenye hadhi na heshima uingereza kushinda Wembley?
Hebu lete hoja zenye mashiko bana!
Huyo jamaa niacha kumjibu inaonekana1ameletwa kushabikia mpira na hiz bettingHebu acha ushabiki mandazi mkuu. Unataka kutuambia Rio na Vidic walikubali kufungwa na Messi kwakua walikua Wembley, ila wangekua OT wasingekubali?
Hivi kuna uwanja wenye hadhi na heshima uingereza kushinda Wembley?
Hebu lete hoja zenye mashiko bana!