BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Hata kama man u mtaitoa pale spain.....kwa liverpool inabd mjipange zaid. Game ya leo ilibeba tension kubwa sana na limepatikana narrowly goal la kujifunga....yote sawa mana hilo gol limetokana na pressing mliofanya
Liverpool ni team dhaifu sana ,fainali tunaweza tukacheza na city au ikiondolewa basi UEFA tumeshachukua bila kikwazoNa Kwa Liverpool alivyocheza na Porto juzi hatufungi ata tukimpangia Barca B
Sent using Jamii Forums mobile app
I guess finally tutacheza na AjaxLiverpool ni team dhaifu sana ,fainali tunaweza tukacheza na city au ikiondolewa basi UEFA tumeshachukua bila kikwazo
Zile ndorobo jana zilipaswa ziliwe tatu kavu..
Ata hivyo siyo mbaya goli la ugenini muhimu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakula goli 4 bilaKabisa, namimi nilitegemea iwe hivyo....but sio mbaya, camp nou tutampiga nyingi...
Ajax wanaupiga sio kitoto yule Neres ni fundi kuliko mbappeAise bora tukutane na Man city, ila sio ajax
Watakula goli 4 bila
Aliyehusika na lile goli ni Sergio Busquets mana yy ndy alitengeneza mazingira ya goli kutokea. Fikiria jamaa angeamua kurudsha nyuma ule mpira na asimpe mess mpira!! Shida unakuza kitu ambach sioNani amehusika na hilo goli??
Aliyehusika na lile goli ni Sergio Busquets mana yy ndy alitengeneza mazingira ya goli kutokea. Fikiria jamaa angeamua kurudsha nyuma ule mpira na asimpe mess mpira!! Shida unakuza kitu ambach sio
Professor busAliyehusika na lile goli ni Sergio Busquets mana yy ndy alitengeneza mazingira ya goli kutokea. Fikiria jamaa angeamua kurudsha nyuma ule mpira na asimpe mess mpira!! Shida unakuza kitu ambach sio
Fikiria na Messi asingetoa ile assist kwa Suarez ingekuwaje?
Aliyehusika na lile goli ni Sergio Busquets mana yy ndy alitengeneza mazingira ya goli kutokea. Fikiria jamaa angeamua kurudsha nyuma ule mpira na asimpe mess mpira!! Shida unakuza kitu ambach sio
Wewe kiroboto hujamboNyinyi kunguni mkifungwa 3-1 nitafurahi sana. Nawapenda Man U kwa kuwa mume wangu pia anawapenda. ingawa personally mie ni Madrid Fan since niko binti chuo UDSM.
Yaani naombea mpigwe 3-1 nitamvulia chupi mume wangu siku 3 mfululizo nampa mambo tu.
Game ya pili tunatafuta draw tu.