Daaaaaaah we jamaa vip?
Umefafanuliwa lakini bado uelewi, hizo ni namba za mgogoni za wachezaji sio idadi ya wachezaji, hapo wachezaji wako 22
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ni 22 lakin mna post wote 30 kuringishia kikos? Mbn City na Tot hawafanyi huu unaz.....na hii hatua mnaeza ona ni chungu
Asee kweli nimedata...ahaha, sikuhesabu hapo...shida hii game ni kama vile akili hazipo freshDaaaaaaah we jamaa vip?
Umefafanuliwa lakini bado uelewi, hizo ni namba za mgogoni za wachezaji sio idadi ya wachezaji, hapo wachezaji wako 22
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba shida ni barca kucheza na man uBaba njoo edit hii comment... Huku ni kujishushia credibility yako bure
Man u hamuwez ifunga Barca hata mkalale makaburiniBaba shida ni barca kucheza na man u
Nakazia
Shida ya wabongo nd hii...mpira hauzungumzwi mdomon....dakika 90 unapata matokeo sahihi...sasa nyie mnajipa ushindi wakat mech haijapigwa
Baba shida ni barca kucheza na man u
Hata Messi na Suarez waumie hamuwez kushindana na Barca labda Barca BShida ya wabongo nd hii...mpira hauzungumzwi mdomon....dakika 90 unapata matokeo sahihi...sasa nyie mnajipa ushindi wakat mech haijapigwa
Hapo sawapole.. Mdchi bado.. Pengine mtatuchakaza
Shida ya wabongo nd hii...mpira hauzungumzwi mdomon....dakika 90 unapata matokeo sahihi...sasa nyie mnajipa ushindi wakat mech haijapigwa
Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kilelenipia bila kusahau juu tena juuu mawinguni"
Messi atawanyoosha mtake msitake
Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kilelenipia bila kusahau juu tena juuu mawinguni"
Messi atawanyoosha mtake msitake
Hii Robo fainali iishe tu tujue moja mana maneno ni mengi mno
Messi akishindwa kuamua ushindi wetu basi smalling will.