OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Wakuu uku vipi ..kule Chelsea wananipa headache bora nije uku Catalonia ..nin kinaendelea hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Messi sio KING ni GOD of football..
King kuwahi kutokea...Mungu ampe afya na umri mrefu wa kuishi, na astaafu soka akiwa na miaka 60
Messi ameweka record ya vizazi vyote ...inapaswa aandikiwe kitabu ili vizazi vijavyo vipate kumsoma.Raha ya barcelona ni kumtazama MESSI tu, anauchezea mpira atakavyo adi raha jamani, siku akistaafu huenda na mimi nikaacha kutazama mpira ndugu zanguni....wachezaji wengi wamepita, akina Diego Armando, Pele, Redondo, Alfredo de stefano, Gaucho, zidane, de lima, Batistuta n.k but sijaona wakumfikia Messi...
Barcelona nothing without Lionel Messi, says Arsenal boss Arsene Wenger....huyu mzee anajuwa mpira, yani hakukosea kabisa.
PNC
Uyu mzee mama hali yake ni mbaya kidogo kurudi kwa Zadanne kutampa nguvu..
Mkuu kwa haraka haraka msimu huu tunaeza pita makombe yote matatu ..yani Copa De Larey, La Liga, na Uefa..Zikifika tatu toa Suarez weka Prince, toa Arthur weka Coutinho, toa vidal weka malcom.
Watu wapumzike, hii Laliga tumeshachukua, we have unfinished business in the champions league. Hatutakiwi kukubali injuries!
- KANA -
Nimekaa muda wote nasikiliza kipindi cha michezo nisikie wachambuzi watazungumziaje lile tamasha alilofanya Messi jana usiku lakini nimejikuta napata hasira baada ya mchambuzi kuitia kapuni hiyo habari kwa sababu dhaifu aliyotoa, eti Messi na Ronaldo wamejiweka katika ulimwengu wa kipekee hivyo Messi kufanya makubwa jana ni swala la kawaida hivyo wakaruka hiyo taarifa na kuendelea na taarifa nyingine
Mzee wa Kaliuwa sijui jina lake halisi ni nani........ wanajifanya hawaoni kinachofanyika ata ile game na Lyon yani kama hakikutokea kitu wakajificha kwenye kichaka cha matokeo ya LiverHaha goza chuma? Habari za king wengi hawazungumzii.. Kumbe na wewe umeliona hili
Sent using Unknown device
Kinachoenďelea ni kwamba Messī kapiga hat trick ya 51 janaWakuu uku vipi ..kule Chelsea wananipa headache bora nije uku Catalonia ..nin kinaendelea hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha goza chuma? Habari za king wengi hawazungumzii.. Kumbe na wewe umeliona hili
Sent using Unknown device
Siku atakayostàafu huyu mfalme Messi wa mpira sijùi itauwaje aisee nahisi kabisa tùtakosa burudan kubwa sana
Uyu mzee mama hali yake ni mbaya kidogo kurudi kwa Zadanne kutampa nguvu..
Sent using Jamii Forums mobile app