Kamanda, Imeniuma sana hiyo 120M kwa coutinho,yani haiendani nae kabisa wakati kuna wachezaji wazuri zaidi yake kama Dybala, Christian eriksen, Kevin De bruyne, James rodriguez and De maria....
Huwa najiuliza sana walifikiria nini kusajili hii mizigo! Sipati jibu....
Coutinho
Boateng
Malcom
Gomez
Paulinho