Giroud Big No aisee, mara 100 tuchukue tu madogo kutoka Barca B. Alafu huyu Stuan nae tatizo umri, ana miaka 32 kama Suarez. Labda kama ni suruhisho la muda mfupi.
Sijaona striker yoyote nje ya Barca anaeweza kum dislodge Suarez- kuna strikers wengi-but Suarez ni hitman-form yake ilichelewa kurudi otherwise hii pachichi angekuwa mbali sana
Kabisa J1. Naona kama hajachelewa sana kihivo kama form aliyo nayo sasa itadumu hivo kwa muda ote wa ligi uliobaki wacha afukuzane na mfalme Messi10 ktk kuwania pichichi msimu huu.
Sijaona striker yoyote nje ya Barca anaeweza kum dislodge Suarez- kuna strikers wengi-but Suarez ni hitman-form yake ilichelewa kurudi otherwise hii pachichi angekuwa mbali sana