Jamaa sijui ana shida gani tu ila uzuri anaaminiwa na asiombe watu wamchokeBarca ya sasa ni ku outscore opponents tu,cause mfumo wetu lazima adui atafika golini-Ingekuwa tuko usukumani ningesema Suarez kalogwa-haiwezekani mpira ukatae kuingia golini-hizi chance punde akianza kuzi convert itakuwa raha tupu
Ahsante sana mkuu, poleni kwa Draw na mashetani. Naona mashetani yalikomaaaHongereni kwa ushindi wakuu
Naona kule hachezi kwa shinikizoIla mambo anayofanya Paco Alcacer huko Dortmund yananifikirisha kiasi.
Anafunga world class goals, wakati Barca tap ins zilimshinda.
Atatufaa baadae!
Haitokua na mvuto sanaToo pathetic messi anakosa elclasico
El classico ni el classico mkuu. amoto lazima utawaka.Haitokua na mvuto sana
Kweli kabisaNot bad, dua zetu zilikua ni kupata ushindi hatimae tumefanikiwa sasa macho yetu ni hatima ya Mess na AL Classico
Hahaa jamaa ananyota ya kupendwa...Jamaa sijui ana shida gani tu ila uzuri anaaminiwa na asiombe watu wamchoke
Ameniuma sana king wetu...Haitokua na mvuto sana
Mkuu unajua kwa miaka ya hivi karibuni mtu ukisikia El classico akili moja kwa moja inakimbilia kwa Mess na Ronaldo sasa Rona alishasepa tukabaki na Mess vichwani sasa nae tunaambiwa hayupoEl classico ni el classico mkuu. amoto lazima utawaka.
Nikweli mkuu ila nae ajitahidi wakati huu bado anapendwa maana upendo pia huenda unashukaHahaa jamaa ananyota ya kupendwa...
Nikweli inauma sana mkuu mimi nilitazamia jamaa angefanya makubwa kwenye hii gameAmeniuma sana king wetu...
Battle ya dembele na Marcelo itakuwa tamu. Kwenye supercup mwaka jana Marcelo alikuwa hatembei kwa Semedo. Na huyo ndiyo injini yao.Without Messi in the classico, the game will be somehow balanced (tulitegemea kuwanyanyasa madridiots).
A good link between Dembele and Semedo could keep Marcelo silent through out the game.
Kwa upande mwingine naamini vijana watataka kuonyesha they can do it without Leo Messi.
Suarez has to step up and take the lead!
Sana kamanda, lakini kila kitu kheri, tumuombee tu apone haraka...Nikweli inauma sana mkuu mimi nilitazamia jamaa angefanya makubwa kwenye hii game