Ao wanaomcriticize dembele leo hawajaangalia mpira apart from goal dembele kacheze fresh sana na ataendelea kuwaprove wrong....combination yake na messi ni fire...mchezaji ambayekacheza boko ni suarez afu uyo arthur kacheza kawaida sana hajapiga dribbles wala through passes za maana sema katulia kwenye middle