FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ao wanaomcriticize dembele leo hawajaangalia mpira apart from goal dembele kacheze fresh sana na ataendelea kuwaprove wrong....combination yake na messi ni fire...mchezaji ambayekacheza boko ni suarez afu uyo arthur kacheza kawaida sana hajapiga dribbles wala through passes za maana sema katulia kwenye middle
 
Arthur tusimlaumu kwa gemu ya sevila maana jamaa walikamia mechi hawakumpa Barcelona nafasi ya kucheza mpira kabisa walikua wanakimbia mwanzo mwisho kama wana mapafu ya mbwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…