FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread



You're right kamanda...
 
Wakuu, atletico amedraw. Vipi tuanze sherehe za ubingwa ama bado?
 
One of few Cules to be graced with a standing ovation from Bernabéu

 
dah..........kocha katunyima haki yenu ya msingi nina hakika leo liver wangekuwa maji wanaita mma
 
Kocha anakazi kubwa sana kusafisha yale makosa. Hawa liver wanavyoachia maspace hivi, tungeua.
Roho inaniuma sana hata kutazama mpira yani awa mbwa leo wanapigwa tano aiseee yani nina hakika leo anfield watu wangekuwa wanajikunyata huyu kocha msengerema sana yani nazidi kumchukia ata kama tunachukua makombe mawili lakini hayawezi kutibu maumivu yangu
 
Kiukweli Barcelona mliniudhu sana siku ile yaani mlishindwa kufunga hata goli moja hawa wapuuzi wanaofungwa tano? Mmetuharibia nusu fainali kabisa.

Barcelona vs Liverpool ingekuwa ni bonge la game
 
Kiukweli Barcelona mliniudhu sana siku ile yaani mlishindwa kufunga hata goli moja hawa wapuuzi wanaofungwa tano? Mmetuharibia nusu fainali kabisa.

Barcelona vs Liverpool ingekuwa ni bonge la game

Kutolewa kwa Barcelona hata ladha ya mpira umepungua sana...nnaamini tungekutananao hawa choka mbaya/Liver tungewanywesha magoli mengi tu. Ila haikuwa bahati yetu *****...yani nnahasira mno mkuu!
 

Hunizidi mimi mkuu..since tutolewe nimetoka kumchukia sana, hata humu nimekuwa sionekani sana....na mtu ambae nnamhurumua zaidi pale ni King Messi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…