FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Jitu linapendwa sana Catalonia he is simply a king ,kile kitabu anachoandika Pique sijui alikimaliza
King Leo
 



Conte"Unajua Messi wewe mambo uliyofanya pale ndio nimeamini wewe si wa kawaida kawaida,haya Bwana Msalimie Thiago"
Messi Bwana jana alikuwa kama Mbwa koko aliyekosa Msosi,kwana akamzingua Refa mpaka akapanic......hahaha mpira raha sana.
 

Attachments

  • upload_2018-3-15_8-49-48.jpeg
    8.9 KB · Views: 38
RealMadrid, Chelsea + Manchester United fans pitieni hapa!!

 
Jamani tuombe fungeni macho
Eeh Mungu kama ambavyo ulitupatia chelsea hatua ya 16 bora ,vile vile fanya maajabu utupatia Real Madrid kwenye robo fainali Amen

#Forca_Barca
Naomba dua ya kumtia uoga adui
Kukutana na real Madrid ligi ya mabingwa ulaya ni sawa na kushindana na Ccm uchaguzi mdogo ,hata ufanyike Kilimanjaro kule siha ,Ccm itashinda kwa ushindi wa kishindo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…