Chelsie wakua wazur sana first half kuliko barca in term of attacking.. While barca wakua vizur sana kwenye Ku compose mpira. Any way ngoja tusubir Second half
Mlioko spain jaman naomba mumfikishie salamu zangu Dembele kua namuomba msamaha yaani nilikua namchukia na kumbeza kwa kiwango chake kibove lakini goli la leo limefuta makosa yake yote
Chelsie wakua wazur sana first half kuliko barca in term of attacking.. While barca wakua vizur sana kwenye Ku compose mpira. Any way ngoja tusubir Second half
Mlioko spain jaman naomba mumfikishie salamu zangu Dembele kua namuomba msamaha yaani nilikua namchukia na kumbeza kwa kiwango chake kibove lakini goli la leo limefuta makosa yake yote
Yea mechi imeisha.., veverde amekua bora zaid kwenye tactical defensing.., cjawah kua na kocha bora zaid barca kwa kuweza kuhimil presha iletwayo golin mwake., lakn pia hana tactical nzur kwenye upande wa kuuchezea Mpira as a team.
Mlioko spain jaman naomba mumfikishie salamu zangu Dembele kua namuomba msamaha yaani nilikua namchukia na kumbeza kwa kiwango chake kibove lakini goli la leo limefuta makosa yake yote
nilitabiri Madrid ingemfunga PSG.
nilitabiri juventus itamfunga spurs
nilitabiri arsenal itamfunga ac Milan
na leo natabiri Chelsea itamfunga barca.
iwe ndani ya 90,au ndani ya 120 au matuta.
barca OUT.