Barcelona ya leo ndio mtaona uwezo halisi wa Ousmane Dembele na Philippe Coutinho, naamini leo tutapiga mpira mwingi mno sababu Dembele na Coutinho watakua wanajua lazima wabebe timu leo na hawatakua na pressure maana mda mwingine kucheza na ma superstar kama Messi lazima kitete cha mguu ukipate.
Leo ndio utaona Barcelona ya kushambulia pande zote sio ya kumtegemea mtu mmoja.