FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Usijali mkuu mambo yatakuwa sawa kabisa, sio kwa lile limsitu
 
Twende mbele turudi nyuma ule ukuta wa chelsea sio poa, kama bus hawa jamaa wanajua kulipaki haswa ile ngome kuitoboa imekua ni kazi ngumu sana....

Kitu kingine beki zetu zilikua zinakatika sana yani pia makosa kibao kama kukaba kwa macho na kuruhusu kuwavuta maadui karibu na eneo lao la hatari...

Mess kufunga imeleta raha sana mana ndio imekua mwisho wa ile kauli ya mashabiki wa chelsea
 
Kwann mkuu
Sio sisi ndo tunacheza kwny mstar mwekundu
Sijui kwanini wanaona kua chelsea imeshatoka ila kiuhalisia game bado mbichi kabisa ata kama Chelsea watafunguka bado inatia hofu kutokana na jinsi beki zetu zilivyocheza leo
 
Sijui kwanini wanaona kua chelsea imeshatoka ila kiuhalisia game bado mbichi kabisa ata kama Chelsea watafunguka bado inatia hofu kutokana na jinsi beki zetu zilivyocheza leo
Tumecheza ugenn tumefunga goli moja tu
Tukija kutandikwa moja la mapema nou camp akil itaturuka aisee
 
Tumecheza ugenn tumefunga goli moja tu
Tukija kutandikwa moja la mapema nou camp akil itaturuka aisee
Hahah usiombe hyo kitu chief yani Chelsea watangulie kuscore pale camp nou hilo bus lao mbona utalipenda, wale jama wanajua kudefence nyie acheni
 
Uingereza n Uingereza tu
 
Hahah usiombe hyo kitu chief yani Chelsea watangulie kuscore pale camp nou hilo bus lao mbona utalipenda, wale jama wanajua kudefence nyie acheni
Watachukua ma-eicher made in tandika waje wayasuse kwny kum na nane pale
 
Cheisii kwisha habari yao
Mechi bado hiyo ukumbuke aliwah kufa kadude pale na ukikumbuka mechi nyingi za mtoano barca kavuka kwa agriget akikutana na chelsea ila chelsea mechi mbili kamuosha bila agriget kwa matokeo ya leo na mwenendo wa chelsea bora kukaaa kimya tu mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…