Haya ni maneno ya vijiweni tu!
Messi hapangi kikosi, wala Messi hayumo kwenye board ya usajili.
Inaweza kua personal opinion tu, ila sio decision.
Dembele anahitaji kupona vizuri ndo arudi uwanjani, hii ni mechi ngumu na inahitaji experience pia.
Otherwise, kwa wanaosema tumepoteza hela kwa dembele naamini hamumjui vizuri huyu bwana mdogo!
Kwanini unawaaibisha wanawake wenzio?Eden Hazard alikua anahojiwa leo na Foxy Sports. Akasema:
Zaidi ya mwezi sasa hajafanya mapenzi.
Ugwadu wote lazima aumalizie leo pale Stamford Bridge kwa kuwakojolea wale Mbwa wakimbizi wa Catalonia. Wanaotawaliwa na Serikali kutoka Madrid.
Lazima warudi mabandani kwao huku vijambio vinatoa damu.
Time is the best teacher, let's wait and see!dembele hana kipaji cha kutisha nimemuona toka yupo dortmund mkuu jamaa walijua tuna mzigo wa maana ndio walikuwa wanatupandishia dau
Mkuu, mbona unakuwa na akili mbovu kama polisi wa ccm?Eden Hazard alikua anahojiwa leo na Foxy Sports. Akasema:
Zaidi ya mwezi sasa hajafanya mapenzi.
Ugwadu wote lazima aumalizie leo pale Stamford Bridge kwa kuwakojolea wale Mbwa wakimbizi wa Catalonia. Wanaotawaliwa na Serikali kutoka Madrid.
Lazima warudi mabandani kwao huku vijambio vinatoa damu.
Nonsense!!Eden Hazard alikua anahojiwa leo na Foxy Sports. Akasema:
Zaidi ya mwezi sasa hajafanya mapenzi.
Ugwadu wote lazima aumalizie leo pale Stamford Bridge kwa kuwakojolea wale Mbwa wakimbizi wa Catalonia. Wanaotawaliwa na Serikali kutoka Madrid.
Lazima warudi mabandani kwao huku vijambio vinatoa damu.
We ni wa kupuuzaEden Hazard alikua anahojiwa leo na Foxy Sports. Akasema:
Zaidi ya mwezi sasa hajafanya mapenzi.
Ugwadu wote lazima aumalizie leo pale Stamford Bridge kwa kuwakojolea wale Mbwa wakimbizi wa Catalonia. Wanaotawaliwa na Serikali kutoka Madrid.
Lazima warudi mabandani kwao huku vijambio vinatoa damu.
22:45Wakuu tafadhari naombeni muda wa bongo ambao game itachezwa.
22:45Wakuu tafadhari naombeni muda wa bongo ambao game itachezwa.
Wewe uko wapi kwan?Wakuu tafadhari naombeni muda wa bongo ambao game itachezwa.
Bongo Bahati mbaya mkuu.Wewe uko wapi kwan?
22:45
viva barca juntos podemos.... vamous amigos22:45
Time is the best teacher, let's wait and see!