FT: Betis 0-5 Barca (Raktick 1, Suarez 2, Messi 2).Blaugrana wapi wewe....
Kama nyie mna vijambio kweli basi wafungeni Real Betis hata magoli matano leo, kama UEFA DEFENDING CHAMPIONS tulivofanya.
Hamna huo ubavu.
Nasubiri Mzee Eden Hazard aje awanyoe Vinumbu kubabake.
Ukizingatia wenyewe kwa BETIS walitandikwa goal 1Safi sana barca ushindi mzuri kabisa ugenini, sasa mmeweka mambo sawa mana 7-1 ni habari ila 0-5 ni habari ya kusisimua...

Wachumba wale sahv wamelala na kanga mojaUkizingatia wenyewe kwa BETIS walitandikwa goal 1
Kweli maana inategemea umemfunga nani.Safi sana barca ushindi mzuri kabisa ugenini, sasa mmeweka mambo sawa mana 7-1 ni habari ila 0-5 ni habari ya kusisimua...
Namtafuta kijambio simuon jamanBarcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
MkuuuBarcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
Sure... mana kuna timu ukizifunga unaona ata aibu kushangilia ila wenzetu leo wameshangilia mpaka noma. Sasa hyo n dalili mbaya sanaKweli maana inategemea umemfunga nani.
Alikua na uwezo wa kupiga hatrick akampasia rafiki yake kipenziFT 5-0. Rakitic moja, Messi 2 na Luis 2. Messi leo alikuwa kwenye fomu balaa.
Semedo naona siku ya kukutana na Neymar-TV zote duniani zita focus kwa mtu mbili hiziBarcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
S.Roberto ulichokifanya leo midfielder nadhani velverde anaenda kulaumu technical eperts wake you are naturally midfielder
Semedo chaaa... speed nimeona zimesoma ulifikisha 33km /hr wakati unamkimbiza yule defender hiyo namba (RB) wewe ndio ya kwako ,una stamina ,balance ,speed,dribbling tactics etc am sure lord Penaldo asingepiga shoot hata moja ukimkaba
Uwezo wa Jordi Alba kuna muda hua nafikiri ni no 11 kumbe sio?you are the master wa kutia cross kwa speed na muda muafaka
Pique thanks kwa kulet balance ya defence
Tchao...
Aitwe Padri McharoMkuuu
Hebu tutafute jina la kumuita gomez coz jamaa nkiona jina lake nashikwa ari ya kumtoa ktk list ya wachezaji wa barca



Nikimuona Andres Gomes moyo hua unanyongea kwanini Dennis Suarez asichezeshwe?Rafinha hadi amehama
Huyu Gomez ana kizizi sio bure
Watangazaji wa Azam vilaza sana wamesifia ile pasi ya busquets mpaka wameharibu eti wakasema ni kijana aliyeletwa kuzipa pendo la xavi dah! Ina maana hawajui kuwa jamaa ni legend?
Hao watangazaji ni kama padri mcharo
Mkuu ktk watu wenye bahati dunian ni huyu mreno cjui alikujaje hapa na bado anaendelea kucheza tu. Yaan mtu km denis suarez hajapewa kabsa nafas na nia mara mia ya huyu gomes. Kaondoka arda turan jamaa hili cjui chawi bado lipo tu linakera kingese.
I liked the analysis.... You're good mkuu...uko vizuriBarcelona inatisha sana na hii pace yao ndani ya dakika 30 za mwisho Betis ameloa goli 5
Suarez na Messi mmoja wao ilibidi atoke na hatrick ,mtu kama Messi in reality angekua kama ana element za u selfish hata 05% tu basi nawaambieni kila match angekua anapiga hatrick
Perfect game ,Velverde usirudie tena kumuingiza Gomez na kumuacha Paulinho nje amecheza dk 30 tumeona impact yake
Halafa Busquets utalogwa unachonga pass za kupenyeza kama ruler?
Raha sana #Forca_Barca
S.Roberto ulichokifanya leo midfielder nadhani velverde anaenda kulaumu technical eperts wake you are naturally midfielder
Semedo chaaa... speed nimeona zimesoma ulifikisha 33km /hr wakati unamkimbiza yule defender hiyo namba (RB) wewe ndio ya kwako ,una stamina ,balance ,speed,dribbling tactics etc am sure lord Penaldo asingepiga shoot hata moja ukimkaba
Uwezo wa Jordi Alba kuna muda hua nafikiri ni no 11 kumbe sio?you are the master wa kutia cross kwa speed na muda muafaka
Pique thanks kwa kulet balance ya defence
Tchao...