Fatma Karume: Sheria inayokataza mapenzi ya jinsia moja imepitwa na wakati

Fatma Karume ni mwanasheria msomi mzuri sana ila ni mtupu katika uwanja wa siasa. Anapenda haki ila sio strategic wala pragmatics. Wapinzani hasa Chadema wakiendelea kujiweka karibu naye watakuja kuumizwa naye tu siku moja.
 
ukitaka kujua watu wamekengeuka hapa duniani hawamjali hata Mungu, wapo tayari kuunga mkono hoja ya mwanadamu mwenzao kama fatma hivi, huku wakiipinga waziwazi bilakuogopa, Neno la Mungu. fatma kaongea kibinadamu, Biblia imeongea kukataza, watu wanatukuza fatma kuliko Biblia inavyosema. ni kizazi cha ukaidi na wote wanaokifwata watakula jeuri ya ujeuri wao. ni machukizo mbele za Mungu na mtapata thawabu yenu yote mtakunywa hadi mchuzi na kulamba sahani ya ghadhabu ya Mungu.
yaan wanavotoa hoja utadhan ni ya maana au msingi kumbe upuuzi mtupu.
 
Ishu hapo siyo kualalishwa, ukiihalisha maana kwamba watu wataitumia illegal.
Halafu hoja ya watu wazima kufanya privacy siyo deal.. sana kuna watu wazima ovyo yuu so tuseme wapo okay..
Mambo kama haya wanao weza kuyashobokeya, ni wale wasio na watoto. Na ambao hawapo kwenye strong family..
 
Kwani sasa hivi hawapo huru?
Mashoga na Wasagaji wako huru sana katika nchi hii.
Wapo na wanajulikana hadi wanaume wanaitwa Anti.
Na hakuna walipo bughudhiwa.

Mfano mzuri ni Yeye Fatuma, na kijana mmoja anaitwa Nyani Ngabu, kama sikosei.
Wanajulikana siku nyingi sana na wanaishi maisha ya furaha na amani kabisa.
Hawajawahi kubughudhiwa miaka yote hii kwakuwa wanafanya chumbani mwao na kwasiri
kabisa.

Kama ishu ni kutaka kupewa haki ya kuthaminiwa vitendo vyao kwamba waruhusiwe kuingia Makanisani na Misikitini huku wamekumbatiana na kubusiana hii hatulitaki.

Kama haki za kisheria Kila Jamii ina haki na sheria kwa Mujibu wa Ustawi wa Jamii Zao.
Jamii yetu hii ina wajibu wa kuzaliana, na kulea vizaji vyake, kwa desturi tulizo rithi toka kwa Asili, iliyo tuweka juu ya Ardhi na Mbingu hii inayotukuza na kutulea.

Customary Law is THE Only natural source of Community, Municiple and definitely International Law.
 
kwahiyo bila kivuli cha dini huna hoja ya kupinga ushoga? Na hiyo dini imetoka wapi?
Ama kweli Tz n kichwa cha wendawazimu.
sio dini tu, Mungu amekataza ushoga, na kama wewe ni shoga jua kabisa utaenda motoni. badilika.
 
Mashoga na Wasagaji wako huru sana katika nchi hii.
Wapo na wanajulikana hadi wanaume wanaitwa Anti.
Na hakuna walipo bughudhiwa.

Mfano mzuri ni Yeye Fatuma, na kijana mmoja anaitwa Nyani Ngabu, kama sikosei.
Wanajulikana siku nyingi sana na wanaishi maisha ya furaha na amani kabisa.
Hawajawahi kubughudhiwa miaka yote hii kwakuwa wanafanya chumbani mwao na kwasiri
kabisa.

Kama ishu ni kutaka kupewa haki ya kuthaminiwa vitendo vyao kwamba waruhusiwe kuingia Makanisani na Misikitini huku wamekumbatiana na kubusiana hii hatulitaki.

Kama haki za kisheria Kila Jamii ina haki na sheria kwa Mujibu wa Ustawi wa Jamii Zao.
Jamii yetu hii ina wajibu wa kuzaliana, na kulea vizaji vyake, kwa desturi tulizo rithi toka kwa Asili, iliyo tuweka juu ya Ardhi na Mbingu hii inayotukuza na kutulea.

Customary Law is THE Only natural source of Community, Municiple and definitely International Law.
Unaweza ukarudia tena, au kuongezea maelezo, kuna sehemu sijaelewa.
 
Mkuu hayo sio ya kudili nayo,Nina Imani usikute umeshachepuka nayo ni dhambi.
Vipi na wezi wa raslimali za Taifa letu tuwafanyeje Mana hao ndo wezi wanaoua watu bila ya wao kujua. Kuna mama anazalia njiani ama anazaa afu hakuna watalaamu,dawa hakuna hospital Ila unakuta anahonga Malaya wake hotel ya ghorofa badala ya kuwafanyia watu waliomchagua.
Nadhani hii nguvu ielekezwe huko.
Huwezi ukadili na ya moyoni mwa mtu ukayamaliza.
dhambi zote ni dhambi, including ushoga, kuwepo kwa dhambi nyingine hakuhalalishi kufanyika au kusapoti huo uchafu. pumbafuu.
 
Yeye Fatuma mwenyewe atuambie kwanza yeye binafsi na imani, na kwa faida ya vizazi vijavyo; kwanini anakumbatia na kupigilia msumari na kutetea kuendelezwa usagaji na ushoga badala ya kushauri nini kifanyike kupunguza haya matendo

Sheria zipo na imani zipo pia, wako wanaoamini binadamu alitokana na sokwe, wako wanaoamini binadamu aliumbwa na Mungu. Yeye Fatuma imani yake ni ipi na inamuongoza vipi?

Sheria inaposema shoga au msagaji akiwa mtu mzima haipaswi aingiliwe uhuru wake inaangalia vipi watoto waoathirika kwa ushoga na usagaji na kuishia kuwa watu wazima wenye hizo mambo? Asilimia kubwa ya wasagaji na mashoga walifanyiwa ukatili wa kuzoesha kufanyiwa hayo matendo wakiwa watoto.
 
Unaweza ukarudia tena, au kuongezea maelezo, kuna sehemu sijaelewa.
Hata wewe hakuna anaye kubughudhi siku zote hizi na unafurahia maisha yako hayo bila shida.
Nikuulize,
Umewahi kubughudhiwa siku yoyote na kushindwa kufurahia mahusiano yako na mwenza wako hapa nchini tokea uanze Ushoga hadi sasa hivi ?
 
dhambi zote ni dhambi, including ushoga, kuwepo kwa dhambi nyingine hakuhalalishi kufanyika au kusapoti huo uchafu. pumbafuu.
Ni sawa unachosema,pia usitumie matusi tumia maneno mazuri ama ukoo wenu wote ndivyo mlelewa na wazazi na mababu zenu ndicho mlichobahatisha kurithi tokea kwa ancestors wenu.

Ishu iko ivi Kama dhambi ni dhambi mbona mmeikomalia iyo tu.
Hujui hata kumuingilia MTT wa kike akiwa mdogo kiumri ni dhambi kubwa unamuharibu kisaikolojia.
Mie navyojua hakuna wa kuweza kumbadili binadamu mwenzako Bali Aliye juu.
Pia hizi Mambo zilitabiliwa ,dunia itajaa uchafu Sana itakuwa chukizo mbele za Aliye juu. Ataagiza shamba lifyekwe uchafu uchomwe apande mbegu mpya.kikubwa jitahidi uwe msafi shamba siku likifyekwa uachwe ukiwa Kama wa mfano.
Hakikisha unafuata torati ya Musa mkuu.
Kila la heri.
 
Hata wewe hakuna anaye kubughudhi siku zote hizi na unafurahia maisha yako hayo bila shida.
Nikuulize,
Umewahi kubughudhiwa siku yoyote na kushindwa kufurahia mahusiano yako na mwenza wako hapa nchini tokea uanze Ushoga hadi sasa hivi ?
Hivi hoja ya fatuma umeielewa lakini? Wee ndo uliyetaka kuelezaa ukweli ila kuna sehemu umekwama, nafikiri ukielewa vyema hoja yake, utapata jibu na muongozo sahihi.
 
Back
Top Bottom