johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Wakili Msomi Fatma Karume amehoji iwapo Dr Nshala atauwawa ndio Mkataba wa Bandari utakuwa Mzuri ?
Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?
Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Pia soma
Mkimuuwa Dr Nshala ndio Wananchi wataukubali Mkataba wa Bandari?
Mwisho ameuliza, Yuko wapi Shujaa Magufuli?!
Amehoji haya kupitia ukurasa wake wa twitter
Nawatakia Dominica njema!
Pia soma
- Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World
- Mwanasheria Dkt. Nshala Rugemeleza: Mkataba wa bandari ni wa kiuhaini, Umevunja katiba ya nchi na utakwenda kuvunja sheria za nchi
- Rugemeleza Nshalla: Tutafungua Kesi kupinga Mkataba wa DP World na Tanzania