Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Mwanasheria Msomi Fatma Karume amepinga kitendo cha kuwaandama na kuwasaka watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akisema kitendo hicho ni kuwanyima haki ya kuishi kwa amani.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Fatma Karume amesema sheria inayokataza ushiriki wa mapenzi ya jinsia moja ( Sodomy) imepitwa ni sheria kandamizi. Wakili msomi huyo amesema kitu ambacho watu wazima wanaamua kufanya kwa hiyari yao faragha ni haki yao hawatakiwi kutokea viongozi wa kuingilia.
Wakati hayo yakiendelea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewataka watu wanaotumia akaunti ya Fatma Karume waache mara moja wakati Fatma Karume mwenyewe alishakiri kupitia WhatsApp kuwa hiyo akaunti ya twitter ni akaunti yake halisi.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Fatma Karume amesema sheria inayokataza ushiriki wa mapenzi ya jinsia moja ( Sodomy) imepitwa ni sheria kandamizi. Wakili msomi huyo amesema kitu ambacho watu wazima wanaamua kufanya kwa hiyari yao faragha ni haki yao hawatakiwi kutokea viongozi wa kuingilia.
Wakati hayo yakiendelea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewataka watu wanaotumia akaunti ya Fatma Karume waache mara moja wakati Fatma Karume mwenyewe alishakiri kupitia WhatsApp kuwa hiyo akaunti ya twitter ni akaunti yake halisi.