bahati mbaya sana, Fatma alisoma Ufaransa na Uingereza na akafanya uwakili uingereza. kwasababu hiyo, hajui kabisa sheria za na practice za Mahakama za Tanzania, ndio maana hata uwakili wake anaufanya kwenye arbitration na mikataba na mambo ambayo hayahusishi sana Mahakama. kwenye criminal hajui kabisa na ni mweupe. ninyi mnaosomesha watoto sheria jitahidini degree ya kwanza asome hapa bongo na zingine ndio aende nje ili ajue legal system na sheria za hapa.Fatma Karume ni mwanamke aliyepotoka siku zote anajaribu kila awezalo kutetea tasnia yake ya sheria hiyo ndio theory anayoifahamu yeye tu lakini amesahau kwamba hizi katiba ma sheria wanazozisimamia wanasheria ni mazao ya mwanadamu., kuna wakati automatically unatakiwa u-turn kuangalia upande wa pili sisi ni wanadamu yupo aliyetuumba na kutupa miongozo ya namna ya kuishi hapa ulimwenguni., Linapokuja jambo lenye madhara katika jamii kama hili ni kuelekea tu kwa muumba yeye anatutaka tulisimamie vipi?
Haya mambo ya laws hapa ulimwenguni tunasema ni elimu za kitwaghuuti (elimu zinazopingana na amri ya Mungu) si wakati wote tunatakiwa kuzitii kama kuna nafasi ya kupinga ni kupinga tu waziwazi, au kuzichukia angalau.
Wewe una laanaNaunga mkono hoja.
Kama watu wazima wameamua kufanya ishu zao ndani bila kunibugudha mimi, sioni sababu ya kuwaingilia.
Hivi kama watu wanafanya mambo yao sirini wewe inakuuma nini?
Nishamaliza mkuu.nikajua ni maneno yaliyoshiba maana, kumbe ni uozo mtupu, kaanze upya tena,
mbna mtateseka sana na bado ndo kwanza ushoga unaanza ktoka stand saiv, ngoja uwe njian mbna mtakufa kwa stress.
Poleeeeeeeh
Jamaa kaandika strong obs we unasema pumba! Hivi ukiwa Shoga/msagagaji automatically unakua lijinga?nikajua ni maneno yaliyoshiba maana, kumbe ni uozo mtupu, kaanze upya tena,
mbna mtateseka sana na bado ndo kwanza ushoga unaanza ktoka stand saiv, ngoja uwe njian mbna mtakufa kwa stress.
Poleeeeeeeh
ukitaka kujua watu wamekengeuka hapa duniani hawamjali hata Mungu, wapo tayari kuunga mkono hoja ya mwanadamu mwenzao kama fatma hivi, huku wakiipinga waziwazi bilakuogopa, Neno la Mungu. fatma kaongea kibinadamu, Biblia imeongea kukataza, watu wanatukuza fatma kuliko Biblia inavyosema. ni kizazi cha ukaidi na wote wanaokifwata watakula jeuri ya ujeuri wao. ni machukizo mbele za Mungu na mtapata thawabu yenu yote mtakunywa hadi mchuzi na kulamba sahani ya ghadhabu ya Mungu.Naunga mkono hoja.
Kama watu wazima wameamua kufanya ishu zao ndani bila kunibugudha mimi, sioni sababu ya kuwaingilia.
Hivi kama watu wanafanya mambo yao sirini wewe inakuuma nini?
Aliye juu mbinguni atakuja kuhukumu. Unachepuka pia Kuna mwizi hao wote wanamkosea Aliye juu.Ushoga, usagaji na upuuzi wote wa namna hiyo siyo vitu vya kuvivumilia wala kuvichekea nchini mwetu ni uovu wa kiwango cha juu ndiyo maana Sodoma na Gomora ilichomwa moto.
Mkuu hayo sio ya kudili nayo,Nina Imani usikute umeshachepuka nayo ni dhambi.machukizo mbele za Mungu na mtapata thawabu yenu yote mtakunywa hadi mchuzi na kulamba sahani ya ghadhabu ya Mungu.
Yaan cku hz huwez kaa hata wiki bila kusikia mambo ya ushoga naona huko mbele watakua huruMwanasheria Msomi Fatma Karume amepinga kitendo cha kuwaandama na kuwasaka watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akisema kitendo hicho ni kuwanyima haki ya kuishi kwa amani.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Fatma Karume amesema sheria inayokataza ushiriki wa mapenzi ya jinsia moja ( Sodomy) imepitwa ni sheria kandamizi. Wakili msomi huyo amesema kitu ambacho watu wazima wanaamua kufanya kwa hiyari yao faragha ni haki yao hawatakiwi kutokea viongozi wa kuingilia.
Wakati hayo yakiendelea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewataka watu wanaotumia akaunti ya Fatma Karume waache mara moja wakati Fatma Karume mwenyewe alishakiri kupitia WhatsApp kuwa hiyo akaunti ya twitter ni akaunti yake halisi.View attachment 918087View attachment 918088View attachment 918090
kwahiyo bila kivuli cha dini huna hoja ya kupinga ushoga? Na hiyo dini imetoka wapi?wanapewa hela nyingi sana na wazungu kuhamasisha huu uchafu, yeye akiwa na maria na mchungaji mwamakula. wazungu wanakuja polepole mfano, kuna shule zao hata hapa au NGO zao utakuta zina nembo ya rainbow, ukiona chochote iwe nguo, iwe nembo etc ina rainbow jua hiyo ni bendera ya mapunga. na hapa Tanzania hiyo ipo kwenye shule kadhaa na NGOs. mapunga ya ulaya yana pesa nyingi sana na huwa yanachanga na hata kulazimisha serikali zao kuwa na sera ya kutetea mapunga mengine ya nchi zingine kama africa.
kwa sisi wakristo, Mambo ya Walawi 18:22 imeandikwa:-
22 “Kamwe usilale na mwanamume mwenzio kana kwamba ni mwanamke.
Hilo ni chukizo
pia Warumi 1:26 imeandikwa:- 26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao
afanyaye hayo yote ni machukizo mbele za Mungu, na jehanum inamhusu.
nimecheka sana hadi mbavu zinauma. Khaaah sio kwa makasiriko haya.bahati mbaya sana, Fatma alisoma Ufaransa na Uingereza na akafanya uwakili uingereza. kwasababu hiyo, hajui kabisa sheria za na practice za Mahakama za Tanzania, ndio maana hata uwakili wake anaufanya kwenye arbitration na mikataba na mambo ambayo hayahusishi sana Mahakama. kwenye criminal hajui kabisa na ni mweupe. ninyi mnaosomesha watoto sheria jitahidini degree ya kwanza asome hapa bongo na zingine ndio aende nje ili ajue legal system na sheria za hapa.
ukimsikiliza akijadili katiba, au sheria yeyote ya Tanzania, hajui kabisa na inaonekana wazi. angekuwa anajua sasahivi tungekuwa tunamwona kisutu anamtetea mbowe, lakini kwenye rapsharapsha hizo hayupo kwasababu atashindwa. ni wakili wa human rights na rights zenyewe kwa sheria za kitanzania hajui. pia amelelewa vibaya sana kwasababu anao uhuru uliopitiliza, na haogopi mtu, na unaweza fikiri kidogo nati imechezeshwa kichwani kama sio kwa sembe basi kwa mapepo.
kuhusu kutetea mapunga, fatma na maria wanalipwa na wazungu wawe wanaingiza kidogokidogo viashiria vya ushoga siku mkija kustuka kila kitu kimekubalika au watu wanaona ni kitu cha kawaida. wanapata pesa nyingi na hawana hata haja ya kufanya kazi zingine. sasa kama ameshakula mpunga wa wazungu huko kwenye akaunti yake uingereza akiwaahidi anakuja kuwatetea, unafikiri akiwa hapa atafanyaje ili kujustfy fee?
Huu ni Ugonjwa utatuliwe kwa njia ya Kitaalamu na Sio kwa Sheria Kali Kali!!
Hata Hasira za Mungu ziliishukia sodoma na gomora lakini wanadamu badly wana*@*=an!
Poleeeeeh