chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!
Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako