Fatma Karume na Maria Sarungi sijawaona katika maandamano Mahakama ya Kisutu, wanachochea halafu wamejificha nyuma ya kabati

Nyie chadema mna matatizo sana, kwahy ukiambiwa uandamane bc unafanya maandamano Twita.? Mtu yupo anacheza na snow Marekani huko halafu ww na ujinga wako unapauka na jua na bango lako
Sio kosa lako, kosa ni hizi Kodi ambazo tunalipa pamoja Ila mawazo yapo tofauti
 
Nyie chadema mna matatizo sana, kwahy ukiambiwa uandamane bc unafanya maandamano Twita.? Mtu yupo anacheza na snow Marekani huko halafu ww na ujinga wako unapauka na jua na bango laBahatuaha

Nyie chadema mna matatizo sana, kwahy ukiambiwa uandamane bc unafanya maandamano Twita.? Mtu yupo anacheza na snow Marekani huko halafu ww na ujinga wako unapauka na jua na bango lako
Bahati mbaya sana mie Sina hata kadi ya CHADEMA, hii inaonyesha ilivyo mjinga sana no wonder unatafuta umaarufu JF kwa kujifanya wewe ni verified member Ila hauna mawazo huru.

You sound stupid BTW
 
Mkuu achana naye huyo TAGA. Chadema hawezi kuandika upumbavu kama huo.
83425305-334F-4404-B4F8-261D81EDDCBB.jpeg

Acha ujinga,hata ndani ya kijani wapo wanaoandamana,na kuwaona mliopungukiwa akili na maarifa.
 
Bahati mbaya sana mie Sina hata kadi ya CHADEMA, hii inaonyesha ilivyo mjinga sana no wonder unatafuta umaarufu JF kwa kujifanya wewe ni verified member Ila hauna mawazo huru.

You sound stupid BTW
Hv baada ya maandamano yale mabango hua mnayapeleka wapi.?
 
Mbona vigogo wa CCM wanahamasisha ujenzi wa shule na hospitali ila hawawapeleki watoto wao kwenye shule za kata na wao hawatibiwi kwenye hospitali za umma
 
Mbona vigogo wa CCM wanahamasisha ujenzi wa shule na hospitali ila hawawapeleki watoto wao kwenye shule za kata na wao hawatibiwi kwenye hospitali za umma
Kwa hiyo hii ndiyo inawapa
Mbona vigogo wa CCM wanahamasisha ujenzi wa shule na hospitali ila hawawapeleki watoto wao kwenye shule za kata na wao hawatibiwi kwenye hospitali za umma
Kwa hiyo hii ndiyo inawapa excuse waendelee kujificha
 
Hawa wawili na fatma k. tulisha shutka maana ubini wao huenda uko upande wa pili wanachochea bababu wanapo pa kuponea
Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.

Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!

Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
 
Kwa hiyo kwa siri sana ana uraia wa ulaya?!Uraia wa Ulaya ndio uraia wa namna gani?!kuna nchi inayoitwa Ulaya?!

Na hiyo siri ipite kote mpaka ikufikie wewe bado unaendelea kuiita kuwa ni siri hivi we humo kwa kichwa zimo kweli?!
Huwezi kuwaona

they are a true definition ya fraud
 
Hawa wadada wakiwa twitter wanaonekana kama tembo au simba, linapokuja suala LA kwenda saiti kutekeleza uchochezi wao, wao hawafiki! Yaani wanataka rule rungu, tufe,wao wabaki wakila bata.

Maria Sarungi mama yake ni mzungu, ana pakwenda endapo njama zake za kuvuruga amani zikifanikiwa, sisi hatuna pa kwenda, na pengine Maria Sarungi,kwa siri sana, ana uraia wa ulaya kwa mama yake!

Akili za kuambiwa na Maria Sarungi changanya na zako
Wanaogopa kuupiga mwingi au nao wanaunga mkono kufungua uchumi
 
Back
Top Bottom