Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Jinga kubwa wewe mbona huna aibu?
Huyu ni Rais kilaza kuwahi kutokea Duniani, Yaani Namibia nchi tuliyoisaidia kupata Uhuru ni ya kwenda kuwaomba wa invest Tanzania?
Badala ya kuwaomba Marekani, Canada, UK, Germany, Japan anaenda kuomba Damu maiti, anajijua ni Dikteta uchwara hawamtaki ndo maana linazungukia maskini wenzake
 
Sasa ni sawa kwenda kuomba watu waliokupita GDP kwa zaidi ya $5400 kuja kuwekeza au wewe unaona siyo sawa? Au unataka kulinganisha GDP yetu na population na ya NAMIBIA na population. Mimi sijui unataka kusema nini hapo? Au ni kosa kwenda kuomba aliekuzidi kuja kuwekeza? SHIDA YAKO WEWE UMEKAA KISWAHILI SANA UTADHANI SIYO MTOTO WA RAIS - NYAMAFU WEEE TOO SADIST
 
Tumia akili.
Population yao inaruhusu hvyo.Unaposema hvyo hata Qatar wana GDP kubwa worldwide na pia taifa lao jangwa uarabun but per capital yao ni kubwa kutokana na population ndogo walionayo.
Kwa hyo per capita income ya tz siilaum kwa sabab mbili.
First nchi hii iliongozwa sana kifisad awam mbili zilizopita za mkapa na kikwete.
Secondly population yetu ni dense mnooo.
 
Sasa ni sawa kwenda kuomba watu waliokupita GDP kwa zaidi ya $5400 kuja kuwekeza au wewe unaona siyo sawa? Au unataka kulinganisha GDP yetu na population na ya NAMIBIA na population. Mimi sijui unataka kusema nini hapo? Au ni kosa kwenda kuomba aliekuzidi kuja kuwekeza? SHIDA YAKO WEWE UMEKAA KISWAHILI SANA UTADHANI SIYO MTOTO WA RAIS - NYAMAFU WEEE TOO SADIST
 
Acha maneno maneno jadili hoja, mwenzio ameeleza kwa data pambana na data na sio maneno maneno..

Nchi yenye Population kubwa, ardhi yenye rutuba, madini, na rasimali kila aina inazidiwaje uchumi na nchi yenye population ndogo na eneo kubwa jangwa? -------------Kwanini tusiilaumu CCM wewe unapambana na Fatma Karume..
Namibia wametuzid per capita income hawajatuzid uchumi.
Ukisema hvyo Qatar ina per capita kubwa kuishinda Uk lakn Uk ndio ina uchumi mkubwa.na hao population imewaokoa km Qatar population ilivyowaokoa
 
Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
After speaking exclusively in his native Swahili, Magufuli turned to the journalists present and said: “I Know you will cut some of the words.”

-In Zimbabwe
 
Jinga kubwa wewe mbona huna aibu?
Huyu ni Rais kilaza kuwahi kutokea Duniani, Yaani Namibia nchi tuliyoisaidia kupata Uhuru ni ya kwenda kuwaomba wa invest Tanzania?
Badala ya kuwaomba Marekani, Canada, UK, Germany, Japan anaenda kuomba Damu maiti, anajijua ni Dikteta uchwara hawamtaki ndo maana linazungukia maskini wenzake
Du ! Kazi kwelikweli
 
Jinga kubwa wewe mbona huna aibu?
Huyu ni Rais kilaza kuwahi kutokea Duniani, Yaani Namibia nchi tuliyoisaidia kupata Uhuru ni ya kwenda kuwaomba wa invest Tanzania?
Badala ya kuwaomba Marekani, Canada, UK, Germany, Japan anaenda kuomba Damu maiti, anajijua ni Dikteta uchwara hawamtaki ndo maana linazungukia maskini wenzake

Fanyeni kazi mlikuwa mmezoea hela za bure sasa hakuna. Fanyeni kazi siyo kushinda insta halafu unalalamikia mambo makubwa ya investment.
 
Back
Top Bottom