Jawabu tayari[emoji16][emoji16][emoji16]alitusaidia kupunguza hizo jazba.Punguza jazba.
Povu hili kama la kabudi.Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
Tulia dawa ikuingie.Ana mawifi huyu ama washamsusi kmk zake
Kisu kimegonga mfupa ehh?Nyege mbaya sana .H.K unatafutwa
Tulia dawa ipenye vizuri kunako.Mzee karume mtoe huyu hata uko oman bila mahari.
Acha jazba, tulia dawa ikuingie.Hili demu ni mkosi, bibi kizee, lakini linajifanya binti , mgongo mapaja nje, haliheshimu hata mafundisho ya dini
Basi kaa utulie dawa ikuingie vizuri.Sioni hoja yoyote hapo.
Mkuu hili povu kafulie boxxer.Huyu mwanamke anawashwa sana sasa bahati mbaya videm ambavyo havina nyama sivipendi maana huyu ninget......mba hata kwa kumuendea kwa mganga nilivo simpendi.
Hayo mazuri yasemeni nyie.Asante iko wapi hakuna binadamu mfanya mabaya tu hasa kwa familia ya Fatuma karume ndio maana nauliza Fatuma Karume Ina maana CCM ilifanya mabaya tu kwa familia ya Mzee karume hakuna Jema hata moja ambalo Fatuma Karume anatakiwa apost mitandaoni kusema Asante CCM?
Fungua thread uhoji kuhusu hiloHivi huyu shangazi anae mjomba kweli,au ndio aliunga mkono za jinsia moja
Usipanic.Tena anawashwa sana.
Wakujifunza diplomasia ni Fatma au Palamagamba?Huyu binti karume ana matatizo ya kufikiria itabidi ajifunze vzr diplomasia ya uchumi
Maneno ..BABA YAKO... Kwa mwenye busara asingeyaweka.....Baba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.
Ungewezungumza juu ya alichokiongea ... Kama kina mantiki au la, mjibu Kwa hojaSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Kweli si kweli??Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Hoja kwa hoja, Acheni kujibu hoja kwa vioja. Maskini mwenzako atawekeza Nini Cha maana kwako!!!?Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
Mpumbavu hujibiwa kipumbavu!busara yake iko wapi?Maneno ..BABA YAKO... Kwa mwenye busara asingeyaweka.....
Jibu hoja mkuu hayo yanatoka wapi tena?Hili demu ni mkosi, bibi kizee, lakini linajifanya binti , mgongo mapaja nje, haliheshimu hata mafundisho ya dini
we utakuwa unakalia ...##@@ kama mwenzio ...maanake unangea ujinga tuuu...sijuwi manfikiria kwa matak......,........we nenda kamshauri baba yako kwenye gazeti au kawatangazie jirani kama ajakuwekaa na alichokutotoa nacho,,...........Unaona zuzu mwingine huyu! Mazee alimpea huo ushauri jikoni? Mbona hakujitokeza hadharani kama sasa?