mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,402
Hili demu ni mkosi, bibi kizee, lakini linajifanya binti , mgongo mapaja nje, haliheshimu hata mafundisho ya dini
Haahaha....Good observationBaba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.
Naamba sasa kwa kuwa umeshajua kuwa upo kwenye msafara wa mamba uwe unajitahidi kukaa nyuma kabisa ya msafara tusije kukuchanganya tukijua wewe ni mamba mtoto!!!!kwenye msafara wa mamba kenge nao wapo
nikikumbuka haya maneno ya wahenga hua sipati tabu na vipina hata kidogo
Hilo swali ulivyouliza!umeonakana JuhaAkamuulize baba yake ilikuwaje akashindwa kuifanya Zanzibar kuwa Dubai of Africa.
Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Hili demu ni mkosi, bibi kizee, lakini linajifanya binti , mgongo mapaja nje, haliheshimu hata mafundisho ya dini
Sioni hoja yoyote hapo.Acha maneno maneno jadili hoja,...
[emoji848][emoji848][emoji848]
Kunawake za viongozi huku mtu akitoa maoni sahihi yanayokosoa mabwana zao wenyevyeo wanakuwa kama wanakichaa cha mimba. Naamini hakuna mwanaume kati yao maana akiwepo tutasema laana tulah!!Huyu mwanamke anawashwa sana sasa bahati mbaya videm ambavyo havina nyama sivipendi maana huyu ninget......mba hata kwa kumuendea kwa mganga nilivo simpendi.
Ushachukua kitambulisho cha machinga kwanza?Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
kawekeza kwenye taaluma yake. ni mjasiriamali... mwanasheria wa kujitegemea.Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
kwa sababu yupo chama chetu kichovu, CCM. angekuwa CUF Zanzibar ingekuwa Dubai siku nyingi!Akamuulize baba yake ilikuwaje akashindwa kuifanya Zanzibar kuwa Dubai of Africa.
Upuuzi mtupu....
swali jingine?
Huyu naye eti akawa kiongozi wa TLS! TLS nao wajipime namna ya kuchagua viongozi. Wasifanye kama wanachagua kiongozi wa DARUSO pale UD!