Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,146
- 6,052
Ni mwanaharakati huyu ila hajuwi anafanya nini, hajabu sana.Mimi niliona aibu kwa mara ya kwanza kuwa mwanasheria siku shangazi alipoenda kuargue mahakamani kwa kutumia sheria iliyokuwa imeshafutwa. Yaani sitasahau maishani mwangu 😪😪