Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Mama hata wanawake wenzake wanamshangaa
Naanimi anaenda kuitendea familia yako kwanza!MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Mama yule amevunja rekodi ya kulewa madaraka.
Mna genge lenu la ugaidi kuua viongozi, imejulikana na mtanyooshwa.MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Mtaimba kila wimbo ila gaidi ni gaidi tuMimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
WANAUFIPA INJE NA MATUSI HAKUNA KINGINE WANAFIKILIA. HIVI HAMUINI AIBU KUITWA KIWANDA CHA MATUSI?? KILA POST ZENU NYINYI NIKUPOST MATUSI TUUU. AU MNAMATATIZO GANI??Mimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
MUNGU anaenda kutenda..
Tutarudi kati hivi karibuni.
Unafanya ugaidi alafu unaacha nyayo zote kwenye laptops na simu...hii ndio akili ya kamanda wa angaWote akili zenu kama Mbowe tu, Div 0. Mbowe kajiona mbabe na kuanza kuzunguka nchi nzima kumdharau mh. Rais sbb ameona ni mwanamke kaona hamfanyi kitu, sasa atanyea debe hadi anyooke. Sasa mnapiga makelele mitandaoni, mfuateni msaidieni, nendeni, makamanda feki mmebakia mitandaoni tu, nendeni mkamsaidie. Sasa case yake inakuja kali sana, makamanda feki nendeni, acheni kuongea tu mitandaoni, mnajifunza ugaidi, miaka 100 jela pumbaf
Sentensi ya mwisho umevuruga yote uliyoyaandikaFatuma nae ni mnafiki tu...
Babu yake, alikuwa dikteta tu!!
Dr. Salmim Amour hakuwa na tofauti yoyote na Samia, tena huenda Salmin alikuwa ni gaidi zaidi kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa CUF!
Utawala wa baba yake, ndio ulisababisha mauaji ya Wazanzibar kadhaa mwaka 2001 hata kama tutaamua kumbebesha Mkapa zigo lote la lawama!!
Utawala wa Shein ndio kwa mara nyingine ulipora ushindi wa Maalim Seif bila aibu hata kama tutamsingizia JK!!! Na wakati Shein anatoka madarakani kumpisha Hussein Mwinyi, sote tulishuhudia ukatili uliokuwa umefanyika Zanzibar dhidi ya wanachama wa ACT.
So long as unatoka CCM, haijalishi kama ni mtu wa bara au visiwani!! Wote ni madhalimu tu!!! Huyo anayejifanya kumuonea aibu hivi sasa hana tofauti yoyote na ma-CCM mengi ya huko huko Zanzibar!
Tatizo la Fatma Karume ni tatizo la watu wengi wa visiwani!! Hawa wanataka kuaminisha watu kwamba watu wa Visiwani ni waungwana lakini watu wa bara ni barbarians tu!