Fastjet PLC inatarajia kuuza hisa zake katika shirika la Fastjet Tanzania

Kipindi cha high season mf Serengeti kuna viwanja kama seronera,Kogatende,ndutu,Kirawira,Lobo Airstrips ndege zinazotua viwanja hivyo vya vumbi ni nyingi mno!!!Imagine hizo flights zingelikuwa ni mali ya nchi tungelikuwa wapi? Makampuni ya wajanja yamepiga pesa sana ktk sekta hii.
 
Kipindi cha high season mf Serengeti kuna viwanja kama seronera,Kogatende,ndutu,Kirawira,Lobo Airstrips ndege zinazotua viwanja hivyo vya vumbi ni nyingi mno!!!Imagine hizo flights zingelikuwa ni mali ya nchi tungelikuwa wapi? Makampuni ya wajanja yamepiga pesa sana ktk sekta hii.
Brother wenye mawazo , fikra,na matumaini kama wewe duniani wali-fail rasmi toka 1989 ukomunist ulivyosambaratika bado serikali inapata pesa kwenye kodi .
 
Utaratibu Ndiyo Huo
Tunazo Zetu Lazima Tupande Hizo
Hao Waende Huko Mbele 😃😁🤣😂
Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Wa Chama
 
It is not science rocket to know that 'CHARITY BEGINS AT HOME" JAPOKUWA UNATIMIZA WAJIBU WA CONTRACT YAKO, LAKINI KUNA KAZI NYINGI NI AIBU KUFANYA, HASA ZA KUWADI
Acha bange this is business ujue
 
Ukiwa mjinga ni mjinga tu,mfano Ethiopia airline, Kenya airline, hawa waweze ila sisi tushindwe,ni upuuzi uliopitiliza,magu huko Sawa ila sisi wehu wa humu jf tunaponda tumechoka kusifia vya jirani,nilikua nikienda Kenya nakutana na fryover saizi wala sishangai treni ya umeme IPO,ndege zipo sasa naomba mungu asinichukue mapema mpaka nione tunavyolusha chombo mwezini,ni nyie mlietuambia lugemalila na mhindi wake wa pap hawakamatiki Leo,mnakodoa macho bira majibu.
Mjinga ni mjinga tu ila ni afadhali kuliko mpum*bavu. Unaweza kulinganisha Kenya airways au Ethiopian Airline na ATCL? Magu anatafuta namna ya kuibeba ATCL lakini jitihada hizo ni hapahapa kwa 'wadanganyika'!
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
Hawa ATCL hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.

Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
 
Hawa hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.

Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
Naipenda sana Tanzania.
 
Brother wenye mawazo , fikra,na matumaini kama wewe duniani wali-fail rasmi toka 1989 ukomunist ulivyosambaratika bado serikali inapata pesa kwenye kodi .
Kaka kama tumefufua shirika letu hata hili tutaweza ilimradi tumpate kiongozi bora atakaeendeleza fikra za Magu
Le presider kapanga safi sana shida kutatokea wahujumu wa fikra na mawazo yake mwisho tutajikuta tupo hoi, Wazungu ni wataalam wa kusuka mipango hovyo hasa kwa kuwanunua viongozi cheaper na kuwalisha ugolo wa kutenganisha watu wenye fikra bora
Ebu ona jinsi viwanda vya cotton vilikufa,viwanda vya vyuma,mkonge,vya radio,mpira,ni
Leo tunapata nguo toka China,Thailand,America,nk leo pamba yetu inaonekana ya kishenzi ili wauze yao
 
Dah !
tutaweza kweli kupeleka bidhaa za viwanda vyetu soko la dunia ?
maana tumezoea yafuatayo:
*hatufanyi biashara mpaka tuzuie bidhaa za nje
*hatufanyi biashara mpaka mtoa huduma mwingine tumfanyie figisu
*hatufanyi siasa mpaka tuwafunge pingu wapinzani..
hatuchezi mpira mpaka turoge..
Nasubiri mitumba ya Tanzania nipeleke soko la dunia marekani
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
Unawezaje kuweka server/air operator katika nchi ambayo haimalizi wiki bila umeme kukatika. Hta kma ungekuwa wewe ndye mwekezaji ungeweza kurisk namna iyo???
 
Back
Top Bottom